mountain climber
JF-Expert Member
- Aug 31, 2024
- 311
- 461
Naomba uwe baba mkwe wangu mkuu....vigezo vyote kwangu viko sawa....natanguliza shukrani za dhat
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe unajua historia yangu,unajua utamaduni wetu,unaijua asili yangu? Kitu usichokijua ni usiku wa gizaSimulizi yako ina uwalakini.Mtoto uliyemlea tangu akiwa na miaka mitatu(three) na anakuita baba huwezi kumuita mdada.Halafu neno "mdada" halipo kwenye kiswahili fasaha labda cha magumashi.Huyo unatakiwa umuite binti yako na kamwe si vinginevyo. Pili,wewe unaanzaje kujua mambo ya ndani ya binti yako hadi yahusuyo unyumba wake?
Muoaji habi hivyo,pili mie sie nayemchagulia,anachagua mwenyeweNaomba uwe baba mkwe wangu mkuu....vigezo vyote kwangu viko sawa....natanguliza shukrani za dhat
wewe ungefanyaje? ungecheza umphoozi wephepha?Yaani baba alilia lakini mwisho wa siku akasema, Haya mwanangu, kama ndo mume kashindikana, basi tupate mjukuu!
Unaniuliza maswali ya kibwege badala ya kuniambia majibu yake?wewe unajua historia yangu,unajua utamaduni wetu,unaijua asili yangu? Kitu usichokijua ni usiku wa giza
Hahaha..................MBA ndiyo tuliobaki, na hivi Kuna pension ya Kila Mwezi najua hatuwezi kushindwa kuwatunza 🤗Hiyo MBA nimeikubali mzee mwenzangu🤣🤣🤣
Sasa jichanganye!!Hiyo MBA nimeikubali mzee mwenzangu🤣🤣🤣
Kashindwa kuvumilia,anataka watoto ana 34 ana miaka michache mno ya kuzaa,otherwise hatazaa kabisa,nimemuelewa,ninemruhusu,sikuwa na njia nyingine
Baba nanii, unajua kuna vitu vingine vinahitaji approval ya serikali, sasa mimi siyo MP, siwezi kupitisha!wewe ungefanyaje? ungecheza umphoozi wephepha?
😂😂DahMwanaume uliaje bhana, unazingua
😅😅 Kuweni na imani na WazeeSasa jichanganye!!
Utamsaidia kulea uyo wa pili? Uyo wa kwanza baba kamkimbia uyo wa pili azae na mwingine hvyo hvyo alaf mzigo uwe kwake. Huwa nachukia sana mtu anayeshauri wenzake waongeze watoto kama vle atasaidia kwenye kulea.Dadakidoti, ongeza mtoto wa pili mapema iwezekanavyo: iwe kupitia kwa huyo uliyezaa nae mtoto wa kwanza au pata Dume la Mbegu jingine kabla umri haujakutupa mkono!
Utakuja kuukumbuka ushauri wangu!
Wazee wa hovyo kbisa.
Wapuuzi nao huzeeka ujue🤣😅😅 Kuweni na imani na Wazee
Moja ya sababu inayofanya wadada wengi wasiolewe ni kwasababu wanaomba sana hela, siwaelewagi kwa kweli, sijui wanakua wamejikatia tamaa ya kukutana na mwanaume wa maana Joline Donatila DadakidotiMoney is not everything!
Wapo wenye pesa tunawaona na wana ukame wa kupata wanaume.
Hahaha..............na Mvi zote hizi MjukuuWapuuzi nao huzeeka ujue🤣