Baba wa familia ndie injini ya nyumba, Hakuna shida akila vizuri akiwa mihangaikoni, wala sio ubinafsi kama wengi wanavyodhani

Baba wa familia ndie injini ya nyumba, Hakuna shida akila vizuri akiwa mihangaikoni, wala sio ubinafsi kama wengi wanavyodhani

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
N:B: Baba wa familia anaehudumia sio aliekimbia au kukwepa majukumu

Kwa tamaduni za waafrika wengi baba ndie injini ya familia, ndio maana familia nyingi sana baba akiondoka mambo yanayumba hata kula inakuwa ya shida.

Injini inahitaji service, kuwekewa oili mara kwa mara kulainisha vyuma na kuondoa stress za misuguano ya vyuma, injini inahitaji upgrades, n.k.

Hapo zamani kwa watoto tuliozaliwa kabla ya 90s tuliona mama zetu wakiwapendelea baba zetu kwenye msosi, mfano kuku akichinjwa baba anapewa mapaja na firigisi, Enzi hizo mama zetu walikuwa wanafundwa kwamba mwanaume wa kiafrika ndie mpambanaji mkuu, inabidi atunzwe awe na afya imara ili apambane zaidi.

Huu mzigo sio wa kitoto, ukiona tunafaidi vaa viatu wewe

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • Usimamie mafundi ujenzi
  • utume hela kwa wazazi na kina bibi
  • Usomeshe ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
  • Michango ya harusi
  • rambi rambi za misiba
  • Rushwa
n.k. n.k n.k.
 
N:B: Baba wa familia anaehudumia sio aliekimbia au kukwepa majukumu

Kwa tamaduni za waafrika wengi baba ndie injini ya familia, ndio maana familia nyingi sana baba akiondoka mambo yanayumba hata kula inakuwa ya shida.

Injini inahitaji service, kuwekewa oili mara kwa mara kulainisha vyuma na kuondoa stress za misuguano ya vyuma, injini inahitaji upgrades, n.k.
Kama unahisi baba wa familia anafaidi, vaa kiatu chake.
 
ukweli mtupu
 

Attachments

  • Screenshot_20240823-154118_Instagram.jpg
    Screenshot_20240823-154118_Instagram.jpg
    348.8 KB · Views: 2
Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
 
Jana nili katiza sehemu walikua wanauza chair fire 🔥 na vinywaji na vyakula mbali mbali..

Dada mmoja muuza (mhudumu) kanenepa tako na mwili umenona kisa kudoea chair fire 🔥 za wateja haaahaa nimeamini mjini mipango walisema wahenga.
 
Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
Wa saizi wana dharau wanapenda stori za haki sawa ,
Kama kuna mwanaume anakubari mambo ya usawa au kuona mwanamke ni kiumbe tunapaswa kuwa nae sawa huyo siyo mwanaume ni fake
 
Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
Thubutu, waitoe wapi hiyo mioyo 😜

Siku hizi Kuna wengine kwenye Ndoa zao wapo radhi Baba anyimwe chakula afe ili Mke baada ya Msiba awe huru na maisha yake

Wanasema aliolewa na huyo Mwanaume Kwa bahati mbaya tu, he was not her type 🙌
 
Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
Mimi pia wife ananipendelea mpaka huwa namkataza maana is too much utasikia firigisi la baba mapaja ya baba kidari na makolokolo kibao

Ukipata muda Kama mwanaume wewe Kama wewe jitoe outing kula vizuri, kunywa vizuri,vaa nguo nzurii kifupi pendezaaaa nenda sehemu nzurii jipe pongezi
 
Mimi pia wife ananipendelea mpaka huwa namkataza maana is too much utasikia firigisi la baba mapaja ya baba kidari na makolokolo kibao

Ukipata muda Kama mwanaume wewe Kama wewe jitoe outing kula vizuri, kunywa vizuri,vaa nguo nzurii kifupi pendezaaaa nenda sehemu nzurii jipe pongezi
Huyo kafundwa unyango ama mama yake alimpa somo kwamba mwanaume ndie mlezi mkuu wa kuhudumia familia

Hawa wengine wa haki sawa hawawezi kuijua hio elimu
 
Mimi pia wife ananipendelea mpaka huwa namkataza maana is too much utasikia firigisi la baba mapaja ya baba kidari na makolokolo kibao

Ukipata muda Kama mwanaume wewe Kama wewe jitoe outing kula vizuri, kunywa vizuri,vaa nguo nzurii kifupi pendezaaaa nenda sehemu nzurii jipe pongezi
We mke unae
 
Huyo kafundwa unyango ama mama yake alimpa somo kwamba mwanaume ndie mlezi mkuu wa kuhudumia familia

Hawa wengine wa haki sawa hawawezi kuijua hio elimu
My story is different Mimi nilioa mtu anae nipenda yeye SANAA (so Mimi ndio dream man wake)
Nilikua na wanawake nao wapenda lakini nikawa skip na kumchagua huyu
By the way hayana muongozo walisema wahenga
 
N:B: Baba wa familia anaehudumia sio aliekimbia au kukwepa majukumu

Kwa tamaduni za waafrika wengi baba ndie injini ya familia, ndio maana familia nyingi sana baba akiondoka mambo yanayumba hata kula inakuwa ya shida.

Injini inahitaji service, kuwekewa oili mara kwa mara kulainisha vyuma na kuondoa stress za misuguano ya vyuma, injini inahitaji upgrades, n.k.

Hapo zamani kwa watoto tuliozaliwa kabla ya 90s tuliona mama zetu wakiwapendelea baba zetu kwenye msosi, mfano kuku akichinjwa baba anapewa mapaja na firigisi, Enzi hizo mama zetu walikuwa wanafundwa kwamba mwanaume wa kiafrika ndie mpambanaji mkuu, inabidi atunzwe awe na afya imara ili apambane zaidi.

Huu mzigo sio wa kitoto, ukiona tunafaidi vaa viatu wewe

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • Usimamie mafundi ujenzi
  • utume hela kwa wazazi na kina bibi
  • Usomeshe ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
  • Michango ya harusi
  • rambi rambi za misiba
  • Rushwa
n.k. n.k n.k.
Mshamba hawezi kuelew
 
N:B: Baba wa familia anaehudumia sio aliekimbia au kukwepa majukumu

Kwa tamaduni za waafrika wengi baba ndie injini ya familia, ndio maana familia nyingi sana baba akiondoka mambo yanayumba hata kula inakuwa ya shida.

Injini inahitaji service, kuwekewa oili mara kwa mara kulainisha vyuma na kuondoa stress za misuguano ya vyuma, injini inahitaji upgrades, n.k.

Hapo zamani kwa watoto tuliozaliwa kabla ya 90s tuliona mama zetu wakiwapendelea baba zetu kwenye msosi, mfano kuku akichinjwa baba anapewa mapaja na firigisi, Enzi hizo mama zetu walikuwa wanafundwa kwamba mwanaume wa kiafrika ndie mpambanaji mkuu, inabidi atunzwe awe na afya imara ili apambane zaidi.

Huu mzigo sio wa kitoto, ukiona tunafaidi vaa viatu wewe

  • Ada za watoto
  • Mavazi ya watoto
  • Matibabu ya watoto
  • Matumizi ya mke
  • Hela ya chakula kila siku
  • Bili za umeme na maji
  • ulipie kingamuzi
  • Usimamie mafundi ujenzi
  • utume hela kwa wazazi na kina bibi
  • Usomeshe ndugu zako na wa mke
  • pocket money ndugu zako na mke
  • Michango ya harusi
  • rambi rambi za misiba
  • Rushwa
n.k. n.k n.k.
Hili haliwezi kuleta ama kuonekan ni ubinafs mkuu.ubinafs unakuja pale hutekelez ama kumudu wajib wako Kwa familia na unajijali ww alaf huku familia inatetelek ama kufa njaa
 
Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
Kipindi hiko kuku alikuw anahadhi Ake akichinjwa sikukuu ama mgen kawatembelea au Kam mnafuga bac anaumwa huyo ila nowadays watoto hawajui Hilo mwendo wa broiler t hat Kam nyumban mmezingua
 
Tunatamani wake zetu wafunzwe haya kutokea kwao, ukijaribu kumfunza utaonekana mlavi mchoyo mbinafsi mkubwa.

Ndiyo maana tunaishia baa kula vinono na kurudi usiku.
 
Back
Top Bottom