Baba wa familia ndie injini ya nyumba, Hakuna shida akila vizuri akiwa mihangaikoni, wala sio ubinafsi kama wengi wanavyodhani

Baba wa familia ndie injini ya nyumba, Hakuna shida akila vizuri akiwa mihangaikoni, wala sio ubinafsi kama wengi wanavyodhani

Nimekumbuka mama yangu alivokuwa anampendelea baba kwenye menu zake..Hata akichija kuku paja ni la baba na mazagazaga kibao...alikuwa anasema baba yenu Ndo anawaweka nyie mjini hapa ndio mtafutaji. Sijui wadada wa Leo kama Wana mioyo hiyo
Niko hapa hakuna kama baba fulani,we love him so much
Kama mama alikuwa anafanya hivo nawe automatic utafanya hivo.
Ila kuna mabinti nawaona wao hiyo hawana habari nayo
 
Niko hapa hakuna kama baba fulani,we love him so much
Kama mama alikuwa anafanya hivo nawe automatic utafanya hivo.
Ila kuna mabinti nawaona wao hiyo hawana habari nayo
Nyie Wanawake wa sasaivi mna umimi
 
Kizazi cha sasa taabu tupu, wanawake wanaleta sana ujuaji kwenye ndoa.
 
Back
Top Bottom