Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Mungu ni mmoja Ahura Mazda na Mtume wake ni Zarashushtra.

Tawheed ni muhimu sana kwetu, tunaswali sala tano 5 na kabla tunachukua Wuduu kwa maji iki kujitakasa.
 
Umeisahau Dini iliyoigwa na Dini za Abrahamic ya ZOROASTRA ya Iran ya Kale.
Zoroastra inasemekana ilianza Miaka 1000 kabla ya kristo na uyahudi ilianza Miaka 2000 kabla ya ya kristo .

Kwa maana Hiyo itakuwa zoroastra iliiga dini ya kiyahudi
 
Kwa maana Hiyo itakuwa zoroastra iliiga dini ya kiyahudi
Jifurahishe kijana Ahura Mazda alianza kuabudiwa Persia kabla ya Yahweh

Ahura-Mazda-symbol-hall-doorway-Persepolis-Iran.jpg
Mythlok-Ahura-Mazda-wall-carving.jpg
Ahura Mazda kachongwa kwenye Jiwe nionyeshe sehemu ambayo Yahweh kachongwa kwenye Mawe ya kale.

Kilichomsaidia Yahweh ni uandishi wa Vitabu.
 
Jifurahishe kijana Ahura Mazda alianza kuabudiwa Persia kabla ya Yahweh

View attachment 2858402View attachment 2858404Ahura Mazda kachongwa kwenye Jiwe nionyeshe sehemu ambayo Yahweh kachongwa kwenye Mawe ya kale.

Kilichomsaidia Yahweh ni uandishi wa Vitabu.
Sio maneno yangu , ni historia ndiyo Inasema hivyo .
Mfalme Cyrus mkuu wa Persia alimwomba nabii wa dini ya kiyahudi amfundishe dini ya kiyahudi na alipendezwa nayo .
 
Mfalme Cyrus mkuu wa Persia alimwomba nabii wa dini ya kiyahudi amfundishe dini ya kiyahudi na alipendezwa nayo .
Dini zina evolve na kuigana kabla hata ya story ya Wana wa Israel kulikuwa na Dini mbalimbali na Miungu mbali mbali.

Hakuna kitu kinachoitwa Dini ya kwanza.
 
Dini zina evolve na kuigana kabla hata ya story ya Wana wa Israel kulikuwa na Dini mbalimbali na Miungu mbali mbali.

Hakuna kitu kinachoitwa Dini ya kwanza.
Yote kwa yote Dini zote ni za zamani .

Mfalme Darius wa Persia aliabudu ahua mazda akaweka sheria kila mtu aabudu hio miungu yake , Daniel nabii wa kiyahudi akakataa kuabudu wakamtupa Kwenye shimo la simba lakini hakudhurika mfalme akashangaa sana ikabidi wamtoe Daniel shimoni na mfalme akabadilisha sheria nchi nzima ikawa inafuata dini ya kiyahudi .
Mpaka Leo kuna idadi ndogo ya wafuasi wa dini ya kiyahudi .
 
Yote kwa yote Dini zote ni za zamani .

Mfalme Darius wa Persia aliabudu ahua mazda akaweka sheria kila mtu aabudu hio miungu yake , Daniel nabii wa kiyahudi akakataa kuabudu wakamtupa Kwenye shimo la simba lakini hakudhurika mfalme akashangaa sana ikabidi wamtoe Daniel shimoni na mfalme akabadilisha sheria nchi nzima ikawa inafuata dini ya kiyahudi .
Mpaka Leo kuna idadi ndogo ya wafuasi wa dini ya kiyahudi .
Dini ya kiyahudi na Kikristo zimeiga mambo kadha wa kadhaa kutoka kwenye Uzoroastra ikiwemo Ubatizaji. na Uisilamu umeiga swala tano na kuchukua wudhu kabla ya kuswali.
 
Honestly angalia kitu ulichoandika? Sijui kama ni typing error hapa jatubishani tunaeleweshana.
Myahudi mweusi toka lini akawa honest

Umeanza kukisahau kiswahili? , Myahudi wa Manzese 😂😂😂
 
Myahudi mweusi toka lini akawa honest

Umeanza kukisahau kiswahili? , Myahudi wa Manzese 😂😂😂
MImi sio Myahudi na wala siishi Manzese naishi Temeke.

Wewe ndio nasihindwa kukuelewa nini point yako kama ni ubishi tu mimi sio mwenzio tafuta mwingine mbishane.
 
MImi sio Myahudi na wala siishi Manzese naishi Temeke.

Wewe ndio nasihindwa kukuelewa nini point yako kama ni ubishi tu mimi sio mwenzio tafuta mwingine mbishane.
Myahudi mweusi mbona kiswahili chako cha Manzese uwanja wa Fisi ? 🤣🤣
 
Back
Top Bottom