Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Baba wa Joshua aomba serikali ya Tanzania iongee na nchi rafiki za HAMAS ili waachie mwili wa mwanae

Wanajeshi walikuwa wanafanya nini tena kwenye Camp ya Kilimo?? Daah maswali ni mengi kuliko majibu

Ntakusaidia wewe na wenzio mnaokazana

Ohh why bullet proof vest

Mara ohh why kuna kambi ya Jeshi

Mzee Mollel alipokuwa anahojiwa ametoka safari na mzee bado yupo in shock kwa matukio na kifo cha kudhalilisha cha mwanae. Utaratibu uliopo Israel ni kuwa kila anaeenda kuangalia uharibifu uliofanywa katika zile Kibbutz lazima avae bullet proof vest hata Tulia Ackson na Elon Musk walivaa. Mzee atakuwa anadhani kuwa ni utaratibu. Maelezo aliyoyatoa kuhusu Joshua kuvaa bulletproof ingehitaji shahidi wa pili kuweza kueleza kilichosibu. Kingine ni kuwa kijana alikuwa anaishi Nahal Oz. Nahal Oz ninavyojua pia ina military base ambavyo ni sawa na hapa Tz tulivyo na Lugalo, au Ubungo, Gongo la mboto etc. Ukitaka kujua ninamaanisha nini jaribu kutafuta hilo eneo Google maps. Lipo mbali kidogo usawa wa Ubungo mataa na Mwenge (approx). Haimaanishi kuwa alikuwa kwenye military training. No sawa na kusema kisa kuna quarter za jeshi g/mboto basi wakazi nao ni afande, wrong. Kiukweli Mzee angekataa interview kwa ule muda. The man is still hurting. Tuwe na huruma basi.
 
Yaan Qatar wafanyeje Sasa?
Bruh, Qatar ndio inwafadhili Hamas na kuwahifadhi viongozi wao wakuu (Hamas) wenye thamani za mabillioni ya dollar. Qatar wangesaidia huo mwili upatikane
 
So unlikely bro...
Jinsi walivyomuua kinyama aisee... Dah..
Wameufanyeje mwili ulee!!!??

Kwahiyo balozi haina majibu...
!?
Na bado kuna picha ninayo, ubongo upo nje, jeans imevuliwa na boxer yake imeharibiwa huku ikionyesha miguu yake kuvunjwa. I won't share the picture
 
It means Seriakali yetu imelala kwenye kujali usalama wa Raia wake, Israel walitarajia kuona Serikali ya Tanzania kama taifa mojawapo ambalo Raia wake wameathirika na tukio hilo wakiwa wanafanya Juhudi za Kimataifa.

Putin, Thailand, France and Mataifa yote wamekuwa wakizungumza na Hamas kupitia Channels tofauti tofaut kama Qatar na Egpty kwa ajili kujua Usalama wa Raia wao wanaoshikiliwa Mateka.

Hili linaonesha Kuwa Either tunauongozi dhaifu sana au tuna kikundi cha watu wenye mamlaka wasiojua malengo ya taifa au kuthamini Raia wake
Shida ni kuffars wamefariki. Ingekuwa Joshua anaitwa Jamal, na Clemence anaitwa Abdul, chap tu
 
Sasa Mke wako atajuaje Mahandaki ya Kimkakati ambayo ni siri ya Kijeshi.

Usifosi kitu ambacho Hamas wenyewe kwenye Video zao wanaonyesha kwenye medani ya mapambano.
Na viongozi wa Hamas wameapa kurudia Oct 7 tena na tena, na tena
 
N
Mwili wa joshua umebaki palepale Kibbutz ...HAMAS hawahifadhi maiti za maadui zao.Bora awasiliane na serikali ya Israel wamweleze hiyo maiti waliizika wapi
No. Upo gaza. I have the video
 
Hamna kitu hapo Huyo Mollel ametumika na Isreal kuonesha ulimwengu kuwa wabaya wengine wa Israel ni Uturuki, Qatar na wengineo nothing more nothing less.
Nchi ya Tanzania kuwa na raia jamii ya hawa akina Mollel ni hasara sana. Kwanza nani kampa airtime huyo Mollel kuongea kiholela hapo airport? Yaani awezeshwe na hao Israel, aende Israel Kwa gharama zao mwisho wa siku arudi mikono mitupu?! Kwanini alienda sasa? Kwamba kwa maelekezo kwamba akaielekeze Tanzania iongee na marafiki wa nani na nani?; Shit. Israel ilimpeleka kule ili iweje sasa? Nchi yetu inachezewa sana. This is not fair. Government machineries should be eyed sometimes
Kataja Qatar saa ngapi, stop projecting
 
In 2000, after Yasser Arafat rejected the offer made to him by Ehud Barak based on a two-state solution and declined to negotiate for an alternative plan, it became clear that Arafat would not make a deal with Israel

Arafat didn't negotiate - he just kept saying no​

This article is more than 21 years old
Benny Morris


Ever since the start of the second Palestinian intifada, a row has raged over who was responsible for the breakdown of the peace process. Now, for the first time, former Israeli prime minister Ehud Barak has weighed in, accusing Yasser Arafat of being a liar who talked peace while secretly plotting the destruction of Israel. Interview by Benny Morris
Thu 23 May 2002 02.25 BST

Source: The Guardian

View: https://youtu.be/9f64YFwRc6c?si=IaupqJf6wbZ5ykJx

Msikie huyu
 
Naona niishie hapa, maana huu sasa unaenda kuwa ubishi wa kwenye Kahawa ALAMSIKI NDUGU! KESHO TUKIJAALIWA.
The conflict history yake ipo deep sana, anaesema it's simple they are extremely ignorant. I pray for peace
 
Na watanzania wengine nasikia bado wanasaka fursa ya kwenda kupalilia mashamba huko izirael muuaji wa manabii na mtoa roho maarufu.
Ebu tutajie manabii waliouawa na wayahudi Mr Antisemite
 
Hawataki kusema ukweli kua marehemu Joshua alikua askari wa IDF

Lakini WAKRISTO wana hila sana
You're so hateful....nani kalaaniwa kugeuzwa kuwa nanngurue? Stop dragging this boy aisee
 
Ntakusaidia wewe na wenzio mnaokazana

Ohh why bullet proof vest

Mara ohh why kuna kambi ya Jeshi

Mzee Mollel alipokuwa anahojiwa ametoka safari na mzee bado yupo in shock kwa matukio na kifo cha kudhalilisha cha mwanae. Utaratibu uliopo Israel ni kuwa kila anaeenda kuangalia uharibifu uliofanywa katika zile Kibbutz lazima avae bullet proof vest hata Tulia Ackson na Elon Musk walivaa. Mzee atakuwa anadhani kuwa ni utaratibu. Maelezo aliyoyatoa kuhusu Joshua kuvaa bulletproof ingehitaji shahidi wa pili kuweza kueleza kilichosibu. Kingine ni kuwa kijana alikuwa anaishi Nahal Oz. Nahal Oz ninavyojua pia ina military base ambavyo ni sawa na hapa Tz tulivyo na Lugalo, au Ubungo, Gongo la mboto etc. Ukitaka kujua ninamaanisha nini jaribu kutafuta hilo eneo Google maps. Lipo mbali kidogo usawa wa Ubungo mataa na Mwenge (approx). Haimaanishi kuwa alikuwa kwenye military training. No sawa na kusema kisa kuna quarter za jeshi g/mboto basi wakazi nao ni afande, wrong. Kiukweli Mzee angekataa interview kwa ule muda. The man is still hurting. Tuwe na huruma basi.
Kwa elimu yangu kidogo hii,
Kilimo kinafanyika zaidi kwenye kambi za jeshi.
Mbeya mfano jkt-Itende walikua wanalima sana mboga mle ndani ,so mtu anaweza kupelekwa kufanya practic.
Uyole pia kulikua na kilimo sana cha mboga ila ukipanda juu kuna kambi kubwa tu na makazi ya staff pembeni.
So inawezekana kabisa alikutwa kambini ila hakuwa mwanajeshi.
Na hao kobaz walifikaje kumvua suruali wakute boxer ya jeshi wakaghazibika.
Kipondo kiendelee
 
Kwa elimu yangu kidogo hii,
Kilimo kinafanyika zaidi kwenye kambi za jeshi.
Mbeya mfano jkt-Itende walikua wanalima sana mboga mle ndani ,so mtu anaweza kupelekwa kufanya practic.
Uyole pia kulikua na kilimo sana cha mboga ila ukipanda juu kuna kambi kubwa tu na makazi ya staff pembeni.
So inawezekana kabisa alikutwa kambini ila hakuwa mwanajeshi.
Na hao kobaz walifikaje kumvua suruali wakute boxer ya jeshi wakaghazibika.
Kipondo kiendelee
Kweli bro hujaona picha nyingine wamemvunja hadi miguu jamani
 
Na bado kuna picha ninayo, ubongo upo nje, jeans imevuliwa na boxer yake imeharibiwa huku ikionyesha miguu yake kuvunjwa. I won't share the picture
Nitumie inbox mkuu..
 
Back
Top Bottom