Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Hii Nchi ina udini sana fungua macho yako.
 
Huyu HAYAWANI muache aende jela pengine akili itamkaa sawa.

Mtu anaizushia Uwongo Serikali kuwa imeua mtoto wake ili apate forum ya kutukana.
 
Huyu HAYAWANI muache aende jela pengine akili itamkaa sawa.

Mtu anaizushia Uwongo Serikali kuwa imeua mtoto wake ili apate forum ya kutukana.
Mkuu akizushia serikali uongo si anapaswa kushtakiwa kwa uongo? Akishindwa kuthibitisha atiwe ndani.

Haya mambo Stuxnet uliyapinga enzi za Awamu ya Tano ila sasa naona na weww umeyaunga mkono?

Je ni kwa sababu sasa hivi ni zamu yenu? Au kumbe mlikuwa mkikosoa maovu kwa wivu tu sio kwa sababu ya Uhalisia?

Nilidhani jambo Baya mtu kama Stuxnet ataendelea kusimamia Ukweli bila kujali nyakati.

Aidha hii ndio sababu Watu wakipata madaraka wanaamua kujitoa fahamu na kukandamiza wanavyotaka maana wanaamini hata nyinyi mkiyapata mtafanya hivyo hivyo.

Umetoa comment mbaya sana kwa Mtu kama Wewe
 
Hizi madhehebu ya kishenzi zisipodhibitiwa zitatupeleka walikofika Wakenya na Shakahola.

Hongera Serikali kwa hatua THABITI, mungecheka na nyani tungepata ya Kibwetere. Maana Mbarikiwa Mwakipesile na wafuasi wake wote wameshakuwa INDOCTRINATED vibaya
 
Hii Nchi ina udini sana fungua macho yako.
Hauna Makali, hawapo strict.
Unalewa na Muislam unalewa na mkristo. Pembeni kuna kitimoto huyu mmoja hali mwingine anakula. And sometimes wote wanakula kitimoto.

Utasema kuna wafia Dini hii nchi..?
Nenda huko Afrika ya kati uone kama wanaishi hivyo.
 
Hauna Makali, hawapo strict.
Unalewa na Muislam unalewa na mkristo. Pembeni kuna kitimoto huyu mmoja hali mwingine anakula. And sometimes wote wanakula kitimoto.

Utasema kuna wafia Dini hii nchi..?
Nenda huko Afrika ya kati uone kama wanaishi hivyo.
Hehehee
 
Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.

Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya kila siku, NAIPONGEZA Serikali.
 
Wakati wa ukominist, ili upate kibali Cha kuanzisha kanisa Urusi lazima ukiri kwamba Mungu ana watoto wawili, Yesu na Lenin, ila Lenin ni mkuu zaidi ya Yesu, hapo utapata kibali, Imani tofauti na hiyo ni kifungo au kifo

Sijuii sifa za kusajili kanisa Tanzania linatakiwa kuamini nini, ili serikali ifurahi
 
Mamlaka ni watu na Tanzania watu wengi wana dini. Hamna kiongozi Tanzania anaweza kushinda vita ya dini ni muhimu tusifike huko. Sa100 lazima ajue Tanganyika siyo Zanzibar
Tutolee "ungeseeer" wako hapa....

Angekuwa ni "mpagani" ungeongea hivyo ?!!!

Kwa hiyo mtu akikosea asihukumiwe kwa kuwa ni mkristo ama muislam?!!![emoji15][emoji15]

Shule ulikwenda kusomea "ushoouuugeeer"?!!!
 
Noma sana mwisho wa Siku Lenin aliacha dunia kanisa bado lipo.

Hawa watawala waoga ni shida.
 
Eti DG wa TISS amemuua mwanaye [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]

Anastahili miaka 3 nyuma ya nondo.....

Shyyyyynzyyyyy tyyyppp
 
Hili linatosha kumuondoa Sa100 madarakani. Watanzania acheni uzombi. Mtafungwa wote.

Bebeni hata marungu muingie ikulu.
Tuache uzombi tutafungwa wote ? Kwani wewe M-Nyasa ? Kama uko Malawi hayakuhusu. Butt out.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…