Walnut Creek
JF-Expert Member
- Mar 17, 2009
- 5,830
- 6,315
Nimesema fungua macho sababu umejificha na Serikali inatakiwa isiwape nafasi au sababu kuoneza hoja zao. Maamuzi kama haya yanawapa hoja ya kusema Serikali ya Waislamu inafunga Wakristo. Issue za udini zinasambaa haraka kuliko ukanda na ukabila.Hauna Makali, hawapo strict.
Unalewa na Muislam unalewa na mkristo. Pembeni kuna kitimoto huyu mmoja hali mwingine anakula. And sometimes wote wanakula kitimoto.
Utasema kuna wafia Dini hii nchi..?
Nenda huko Afrika ya kati uone kama wanaishi hivyo.
Hata misikiti na makanisa yasipokuwepo binadamu hatabadilika kuwa SOKWE....Noma sana mwisho wa Siku Lenin aliacha dunia kanisa bado lipo.
Hawa watawala waoga ni shida.
Udini hauna Shule wala logic. Ukijua hilo utaacha mzaha.Tutolee "ungeseeer" wako hapa....
Angekuwa ni "mpagani" ungeongea hivyo ?!!!
Kwa hiyo mtu akikosea asihukumiwe kwa kuwa ni mkristo ama muislam?!!![emoji15][emoji15]
Shule ulikwenda kusomea "ushoouuugeeer"?!!!
Tunarud pale pale.. huyo aliyefungwa ana waumini zaidi ya 100 ktk kanisa lake? Yaan waache kumfunga mwamposa waje wahangaike na huyo mwenyew kanisa lenye watu 6? Ili iweje.?Nimesema fungua macho sababu umejificha na Serikali inatakiwa isiwape nafasi au sababu kuoneza hoja zao. Maamuzi kama haya yanawapa hoja ya kusema Serikali ya Waislamu inafunga Wakristo. Issue za udini zinasambaa haraka kuliko ukanda na ukabila.
Utauchoma sana usipojua mipaka yako ya kiraia....
Utauchoma sana usipojua mipaka yako ya kiraia....
Acheni udini...Udini hauna Shule wala logic. Ukijua hilo utaacha mzaha.
Sawa mheshimiwa mwenye kacheo kake awamu ya sita.Hata misikiti na makanisa yasipokuwepo binadamu hatabadilika kuwa SOKWE....
Ndio mkoloni mwarabu kashaanza kazi ya kutushughurikia watanganyika. Kwa kuonyesha chuki dhidi ya ukristo Tanganyika.?! Mungu ingilia kati. 💔😭Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.
Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."
Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
=================
Chawa wa AMANI ,UTULIVU NA USALAMA WA JMT[emoji1732]Kazi mnayo machawa [emoji1787][emoji1787]
Hehehe kosa la Jamaa ni kukosoa Dp world na Ngorongoro hayo mengine ni ya kuzugia tuTunarud pale pale.. huyo aliyefungwa ana waumini zaidi ya 100 ktk kanisa lake? Yaan waache kumfunga mwamposa waje wahangaike na huyo mwenyew kanisa lenye watu 6? Ili iweje.?
Huyo wanamkomoa tu na kosa kafanya mwanae yeye nae kajumuishwa humo ni yale yale ya Mwenyekiti yule wa CWT aliyenyimwa kibali.
Sina cheo chochote kile....Sawa mheshimiwa mwenye kacheo kake awamu ya sita.
Kwa sasa mna uhuru wa kuongea chochote mnachojisikia.
Mungu anawaona[emoji38][emoji38]
Delusion [emoji1787][emoji1787]Everything close to God receives attacks , atashinda tena katika hili
Heheeeee hata uvccm haumo?Sina cheo chochote kile....
Ulofa tu umenijaa hapa Sondombwa Majohe...
#Karibu Komoni Ubandani kwa mama Lily [emoji120]
Hehehe......wamethibitishaMnatuona nyani tu
Eeh ni visababu tu.. 🤣Hehehe kosa la Jamaa ni kukosa Dp world na ngorongoro hayo mengine ni ya kuzugia tu
Sawa, tuone hili suala litaishia wapi. Kwa maoni yangu huyo mchungaji hataenda ndani.Tunarud pale pale.. huyo aliyefungwa ana waumini zaidi ya 100 ktk kanisa lake? Yaan waache kumfunga mwamposa waje wahangaike na huyo mwenyew kanisa lenye watu 6? Ili iweje.?
Huyo wanamkomoa tu na kosa kafanya mwanae yeye nae kajumuishwa humo ni yale yale ya Mwenyekiti yule wa CWT aliyenyimwa kibali.
Kwamba wanamwogopa nini?Sawa, tuone hili suala litaishia wapi. Kwa maoni yangu huyo mchungaji hataenda ndani.