Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Uamsho walitiwa ndani na Kikwete....nitolee udini wako hapa....Vitusi vyako ni beneath me. Waislamu mwenzao ameingia amewatoa au unadhani wametoka kwa miujiza? Hata huo mchungaji Wakristo wenzake watamtoa. Narudia rufaa yake itafanikiwa.
Wakristo tena ?!! [emoji15][emoji15]Hawa mahakimu punguani, wanafanya hivyo wakiamini wanamsaidia Samia kumbe wanautumbukiza utawala wake shimoni.
Hapa ni kama Samia ameamua kuwafunga wakristo gerezani.
Unajiabisha...Ni ujinga mtupu.
Serikali hii iliyojaa uovu, eti inataka idhibiti ibada! Haishangazi shetani kutaka kuwadhibiti watu wanaoonekana wapo kinyume chake.
Lichizi hilo....Huyu si ndio yule mchungaji anayelalamika serikali ilimuua mwanae ili kumnyamazisha, wakamnyima kibaru kwa kuwa anakosoa sana hii serikali ya sa190
Nani aliwatoa? Kwanini walifungwa? Na kwanini walitolewa? Think.Uamsho walitiwa ndani na Kikwete....nitolee udini wako hapa....
Toka kwenye bubble Samia hana Uhuru wa kuingilia dini ya kikristo kama unavyodhani. Hii pia ilikuwa ina apply kwa Nyerere, Mkapa na JPM hawakuwa na Uhuru wa kuingilia dini ya Kiislamu. Ni lazima viongozi waheshimu dini za watu.Wakristo tena ?!! [emoji15][emoji15]
Kwa hiyo JPM hakuwatoa waislamu wa UAMSHO waliowekwa ndani na Kikwete ?!!!
Hivi ninyi mnasomea "ungeseeerrrrrr" unaowafanya muwe vichaaar wa UDINI ?!!!
NCHI NI ZAIDI YA HIZO DINI ZENU.....[emoji120]
Ni vita dhidi ya ya Ukristo. Tunamsubiri Lusekelo on thisKumekucha
Kuendesha Kanisa au Huduma ya kiroho?
Kanisa ni Ufalme na Mfalme Ndiye Yesu Kristo
Hivi unajua Nyerere alilipiga marufuku kanisa/dhehebu la Mashahidi ya Yehova? Kila kitu kinataratibu zake sio holelaholelaUsichoelewa ni kwamba, biashara haina protection kama ya "separation of state and religion".
Hao wahandisi, matabibu, waganga wa kienyeji, wanasheria, wahasibu etc, wote hawana protection ya "separation of state and religion"
Dini ina hiyo protection.
Ndiyo maana biashara inatozwa kodi, dini haitozwi kodi.
Nyerere alikuwa anaelezea hoja ya serikali kujua idadi ya Watanzania kwa mujibu wa dini zao, akasema serikali haihitaji kujua watu kwa dini zao, kama mtu anataka kujua idaid hiyo aende kwenye nyumba za ibada.
Alielewa separation of state and religion.
Sasa, hatuoni hizi habari za kusajili nyumba za ibada ni kurudi kule kule alikokataa Nyerere kwenye habari ya serikali kujiingiza katika dini?
Kwa nini serikali ilazimishe kusajili nyumba za ibada?
Michezo ya kitoto hiyo...Nani aliwatoa? Kwanini walifungwa? Na kwanini walitolewa? Think.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Ni vita dhidi ya ya Ukristo. Tunamsubiri Lusekelo on this
Hili halina ubishi wowote kuwa wamemwonea huyu mchungaji...Suala zima la serikali kutoa kibali kuruhusu ibada linavunja haki za binadamu za watu kwenye kujiamulia wenyewe na uhuru wa kuabudu. Linavunja katiba ya Tanzania kwenye Freedom of Conscience.
Maana yake ni kuwa, badala ya watu kuamua waabudu vipi, serikali ndiyo inawaamulia waabudu vipi.
Badala ya watu kuchagua ibada zao ziweje, serikali ndiyo inawaamulia kuwa ibada zenu zitakuwa hivi, msipoenda tunavyotaka, tunawanyima vibali.
Msimseme rais, tunawanyima vibali.
Huu ni uvunjaji wa katiba ya Tanzania na haki za binadamu.
Siyo kweli.Hivi unajua Nyerere alilipiga marufuku kanisa/dhehebu la Mashahidi ya Yehova? Kila kitu kinataratibu zake sio holelaholela
Udini ni uchizi...Toka kwenye bubble Samia hana Uhuru wa kuingilia dini ya kikristo kama unavyodhani. Hii pia ilikuwa ina apply kwa Nyerere, Mkapa na JPM hawakuwa na Uhuru wa kuingilia dini ya Kiislamu. Ni lazima viongozi waheshimu dini za watu.
Kwanza hapa siyo Rwanda, pili matusi yako hayana mashiko, tatu Serikali ya Samia haitafanikiwa kwenye hili jambo na mwisho huyo jamaa atashinda rufaa yake.Udini ni uchizi...
Wewe ni chizi....jichunguze....
Usiuingize ukristo katika upumbavu wa mwanadini mmoja....
Yaani mtu asihukumiwe kisheria kisa ni muislam ama mkristo halafu wafuasi wake waseme uislamu /ukristo UNASHAMBULIWA?!!! [emoji15][emoji15][emoji1787]
Paaaambaaaf watu kama ninyi mh.Kagame hawaachi mitaani.....
Umemjua wakati mwenzio ananyea debe wewe upo na familia yako mnatizama tv huku ukiendelea kubofya bofya smartphone yako?Huyu mwarabu sasa tumemjua vizuri
Sawa...Najua hapa sipo lakini nitasema tu kero yangu, maana wingi huu, ujumbe utamfikia muhusika.
Binafsi naomba Serikali ni muda sasa waondoe spika za Adhana Misikitini, Kelele sana huku mitaani kwetu. Ukienda kulalamika kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa anasema sisi wachochezi, tulienda NEMC wakasema tupate barua toka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa. Wao waswali lakini hatutaki adhana ziunatupigia kelele.
Kweli ziko nyingi zisizo na vibali....Hili halina ubishi wowote kuwa wamemwonea huyu mchungaji...
Wametumia kigezo cha "kanisa kutokuwa na usajili" ili kumfunga lakini nyuma ya pazia ni chuki za "wakubwa" tu ndani ya serikali kwa mtu huyu kwa sababu jamaa huwa anausema uovu na madhambi yao hadharani mchana kweupe bila kupepesa macho!
Nyuma ya huu mgogoro na kumfunga jela Mch. Mbarikiwa Mwakipesile, yupo Dr Tulia Ackson (Spika wa Bunge la JMT) na ndiye anaye dictate kila kitu huku polisi na baadhi ya maafisa wa TISS wakiongozwa na RSO wa Mbeya wakiwa kama mbwa tu wa kuambiwa uma hapo, acha pale....
Kama ni ishu ya usajili wa taasisi za kiimani na kidini zinazoendesha shughuli zao za kiimani na ibada, basi ziko nyingi sana kwa mamia ambazo ziko kienyeji tu zimezagaa nchi nzima zikiendelea na shughuli zao