Kumbe Kaka yake shetani huwa analewa? 😂😂Wakati unawasaidia wale wenye mawazo ya utumbo mpana kama mtoa mada wataanza unafiki na hakifanikiwa hao wa utumbo mpana mtoa mada wataanza kusema mpigania nchi.
Wewe mtoa mada hata ungekuwa kipindi Cha yesu na mtume muhamed ungeshiriki kumuua japo umezaliwa ujawakuta
Mchakato wa Rufaa uendeleeMchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.
Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."
Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
=================
Mtashindwa kirahisi sana hadi mtashangaaKweli ziko nyingi zisizo na vibali....
Haiondoi ukweli kuwa MCHUNGAJI MBARIKIWA naye pia hana kibali pia....
Serikali imeanza naye ...yeye ndio wa mwanzo na "operation" inaendelea....
Bado unakita mbango ?!!! [emoji15][emoji1787]
Ndio yupo, baba mzazi wa kiroho, Si vyema tubishane katika mambo usiyoyajua.Kuna baba mzazi wa kiroho?
Nina maana hii kuwa;Kweli ziko nyingi zisizo na vibali....
Haiondoi ukweli kuwa MCHUNGAJI MBARIKIWA naye pia hana kibali pia....
Serikali imeanza naye ...yeye ndio wa mwanzo na "operation" inaendelea....
Bado unakita mbango ?!!! [emoji15][emoji1787]
Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.
Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya kila siku, NAIPONGEZA Serikali.
Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.
Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya ki
Kwani kuua mpaka ushike panga? Hata kuagiz tu nayo ni kuua.Eti DG wa TISS amemuua mwanaye
Anastahili miaka 3 nyuma ya nondo.....
Shyyyyynzyyyyy tyyyppp
Aaaaaah Mudi nawe una visaKama hana kibali funga hata miaka kumi
Kwa kuwa umesoma wewe na mwingine atasoma, na mwingine na mwisho wahusika wataupata ujumbe.Sawa...
Mbona hapa si pahala pake ?!![emoji15][emoji15][emoji1787]
Watu aina yako msipodhibitiwa ndio mnakuwa magaidi wa kikristo na magaidi wa kiislamu....
Sijui hizo dini zenu za majahazi zinawawehushaje ninyi masakala mandwanye ?!!! [emoji15][emoji1787]
Tukitoka hapo tuanze kuangalia na misikiti ya Ijumaa. Maana kila mtaa inaota km uyoga tena bila vibali.Eti kanisa la Bro😅, acha mfungwe tu.
Ndio ni la bro, hutaki?Eti kanisa la Bro😅, acha mfungwe tu.
Kwani kafungwa kwa kosa gani mkuu?Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.
Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya kila siku, NAIPONGEZA Serikali.
Amani ni tunda la hakiChawa wa AMANI ,UTULIVU NA USALAMA WA JMT[emoji1732]
So, Ina undugu na awamu ya tano?Daah hii serikali ina undugu na shetani. Shetani hana huruma
Maneno yaliyozoeleka....Mtashindwa kirahisi sana hadi mtashangaa
Unazidi kudhihirisha uchizi wako...Nina maana hii kuwa;
Hawataweza kuzuia wala kuzifungia imani wala ibada za watu. Wao ndio watafungwa na kufungiwa kwenye mateso..
Mungu wa mbinguni lazima ataabudiwa tu na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni Mungu Yehova na ni Bwana wa wote wenye mwili na kila goti lazima litapigwa mbele yake
Haki ya Kwanza....heshima kwa MAMLAKA....Amani ni tunda la haki
Ananyea debe huko....Ndio ni la bro, hutaki?
Ok basi la mzee wa upako
Iwe msikiti...Tukitoka hapo tuanze kuangalia na misikiti ya Ijumaa. Maana kila mtaa inaota km uyoga tena bila vibali.
Serikali kwa kesi hiyo imekosea ni bora wangetafuta kosa lingine.
Maana makanisa na misikiti kila baada ya nyumba wanapiga kelele na hawana vibali.
Vp kuhusu mfalme Zumaridi, mbona hakufungwa?
Nabii Tito je?
Maana wote hao hawakuwa na vibari na ilisibitishwa baada ya kukamatwa.
Ujumbe wenyewe ni huu hapa....Kwa kuwa umesoma wewe na mwingine atasoma, na mwingine na mwisho wahusika wataupata ujumbe.
Ushahidi huo unao ?!!!Kwani kuua mpaka ushike panga? Hata kuagiz tu nayo ni kuua.
Aaaaaah Mudi nawe una visa