Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Baba wa Mwimbaji wa Injili aliyeimba "Mnatuona Nyani tu" ahukumiwa miaka 3 jela kwa kuendesha Kanisa bila kibali

Wakati unawasaidia wale wenye mawazo ya utumbo mpana kama mtoa mada wataanza unafiki na hakifanikiwa hao wa utumbo mpana mtoa mada wataanza kusema mpigania nchi.
Wewe mtoa mada hata ungekuwa kipindi Cha yesu na mtume muhamed ungeshiriki kumuua japo umezaliwa ujawakuta
Kumbe Kaka yake shetani huwa analewa? 😂😂
 
Mchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali.

View attachment 2766355


================== ==================
Mchungaji Mbarikiwa Mwakipesile (39), baba mzazi wa Sifa Bujune, Muimbaji wa Injili anayetuhumiwa kusambaza uongo kutokana na Wimbo wake wa “Mnatuona Nyani tu”, amehukumiwa kifungo hicho na Mahakama ya Hakimu Mkazi Mbeya kwa kosa la kuendesha huduma ya kiroho bila kibali.

Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."

Ameongeza "Adhabu aliyofungwa nayo ina faini na kifungo, Hakimu ametoa adhabu ya kifungo bila faini, tunatarajia kukata rufaa Jumatatu (Oktoba 2, 2023)."


=================​
Pia soma: 'Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi' Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Mchakato wa Rufaa uendelee
 
Kweli ziko nyingi zisizo na vibali....

Haiondoi ukweli kuwa MCHUNGAJI MBARIKIWA naye pia hana kibali pia....

Serikali imeanza naye ...yeye ndio wa mwanzo na "operation" inaendelea....

Bado unakita mbango ?!!! [emoji15][emoji1787]
Mtashindwa kirahisi sana hadi mtashangaa
 
Kweli ziko nyingi zisizo na vibali....

Haiondoi ukweli kuwa MCHUNGAJI MBARIKIWA naye pia hana kibali pia....

Serikali imeanza naye ...yeye ndio wa mwanzo na "operation" inaendelea....

Bado unakita mbango ?!!! [emoji15][emoji1787]
Nina maana hii kuwa;

Hawataweza kuzuia wala kuzifungia imani wala ibada za watu. Wao ndio watafungwa na kufungiwa kwenye mateso..

Mungu wa mbinguni lazima ataabudiwa tu na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni Mungu Yehova na ni Bwana wa wote wenye mwili na kila goti lazima litapigwa mbele yake
 
Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.

Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya kila siku, NAIPONGEZA Serikali.

Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.

Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya ki

Eti DG wa TISS amemuua mwanaye
emoji15.png
emoji15.png
emoji15.png
emoji15.png


Anastahili miaka 3 nyuma ya nondo.....

Shyyyyynzyyyyy tyyyppp
Kwani kuua mpaka ushike panga? Hata kuagiz tu nayo ni kuua.
Kama hana kibali funga hata miaka kumi
Aaaaaah Mudi nawe una visa
 
Sawa...

Mbona hapa si pahala pake ?!![emoji15][emoji15][emoji1787]

Watu aina yako msipodhibitiwa ndio mnakuwa magaidi wa kikristo na magaidi wa kiislamu....

Sijui hizo dini zenu za majahazi zinawawehushaje ninyi masakala mandwanye ?!!! [emoji15][emoji1787]
Kwa kuwa umesoma wewe na mwingine atasoma, na mwingine na mwisho wahusika wataupata ujumbe.
 
Eti kanisa la Bro😅, acha mfungwe tu.
Tukitoka hapo tuanze kuangalia na misikiti ya Ijumaa. Maana kila mtaa inaota km uyoga tena bila vibali.
Serikali kwa kesi hiyo imekosea ni bora wangetafuta kosa lingine.
Maana makanisa na misikiti kila baada ya nyumba wanapiga kelele na hawana vibali.
Vp kuhusu mfalme Zumaridi, mbona hakufungwa?
Nabii Tito je?
Maana wote hao hawakuwa na vibari na ilisibitishwa baada ya kukamatwa.
 
Huyu mshenzi tu ninamfahamu, DG wa TISS anawezaje kumuua mtoto wa Mwakipesile? Tatizo la hizi YouTube, mtu anaongea ujinga wake kwenye microphone na nyinyi mnamuamini. Yule ni mwehu tu. Hakuna kanisa wala nini pale. Hawa ni typical akina Kibwetere au Mackenzie. Nakubali nilimpinga Magufuli kwa unyama wake wakati ule.

Ila kwa hili la Serikali kudhibiti madhehebu ya kishenzi yanayochipuka Mbeya kila siku, NAIPONGEZA Serikali.
Kwani kafungwa kwa kosa gani mkuu?
Km ni kuzusha uongo kesi ingekuwa ni hiyo.
Ila kosa lililompeleka jela ni kumiliki kanisa bila vibali.
Tujadili hilo sio hisia zako
 
Nina maana hii kuwa;

Hawataweza kuzuia wala kuzifungia imani wala ibada za watu. Wao ndio watafungwa na kufungiwa kwenye mateso..

Mungu wa mbinguni lazima ataabudiwa tu na kila ulimi utakiri kuwa yeye ni Mungu Yehova na ni Bwana wa wote wenye mwili na kila goti lazima litapigwa mbele yake
Unazidi kudhihirisha uchizi wako...

Umemsikia baba askofu Moses Kulola juu ya kuwaasa wanadini kutotumika kisiasa?!!!


BWANA YESU hakuja kupambana na WARUMI na siasa zao.....
 
jina la BABA: SAID OTHMAN MASANJA

jina la mtoto: PETER OJWANG MOI

MAMLAKA HUSIKA baada ya kumkamata mtuhumiwa: Tunaomba uthibitisho wa uraia wako

JAMII na WANAHARAKATI: Huu ni uonevu, sasa mtu atapataje cheti cha kuzaliwa cha baba yake.......

(Kuna vitu vingi vimejificha nyuma ya Boksi, kuna wakati tuwaachie wataalam wafanye kazi yao)
 
Tukitoka hapo tuanze kuangalia na misikiti ya Ijumaa. Maana kila mtaa inaota km uyoga tena bila vibali.
Serikali kwa kesi hiyo imekosea ni bora wangetafuta kosa lingine.
Maana makanisa na misikiti kila baada ya nyumba wanapiga kelele na hawana vibali.
Vp kuhusu mfalme Zumaridi, mbona hakufungwa?
Nabii Tito je?
Maana wote hao hawakuwa na vibari na ilisibitishwa baada ya kukamatwa.
Iwe msikiti...

Liwe sinagogi...

Liwe HEKALU...

Kama halina KIBALI kufungiwa ni SAHALI....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Kwani kuua mpaka ushike panga? Hata kuagiz tu nayo ni kuua.

Aaaaaah Mudi nawe una visa
Ushahidi huo unao ?!!!

Wewe una HALLUCINATIONS?!!![emoji15][emoji1787]

Ni "auditory"?!!!

BWANA ASEMA....TIINI MAMLAKA!
 
Back
Top Bottom