Kumbe naye mwovu licha ya kumtetea mwovu wakeMchungaji Mwakipesile ambaye mtoto wake Sifa Bujune alikamatwa kwa kosa la kusambaza uongo kwa kuimba wimbo wa "Mnatuona Nyani tu" amehukumiwa miaka mitatu jela kwa kosa la kuendesha kanisa bila ya kuwa na kibali...
Akizungumza na JamiForums, Wakili Boniphace Mwabukusi amesema “Kweli amehukumiwa lakini Mchungaji alifuata machakato wa kuomba vibali japo Serikali ndio ilikuwa ikichelewesha ukamilishwaji, pia Sheria inasema mtu ambaye yupo katika mchakato wa maombi hawezi kushtakiwa."
Kwenye siasa lazima utumie akili hili jambo litakuza udini. Uhamsho walifungwa na Kikwete, muislamu mwenzao. Sasa sa100 muislamu anaanza vita na RC mara anafunga mchungaji lazima wakristo wengi wakasirike hata kama hawatasema. Huu ni kama ule ujinga wa Mkapa na Mwembe Chai. Vitu vya dini ni sensitive.Usiwaingize wakristo katika jambo la upumbavu la "mkristo"....
Ulitaka "waislamu" wakapambane na Kikwete na Magufuli kisa tu wale "waislamu wa UAMSHO walikuwa wananyea mtondoo miaka 9"?!!![emoji15][emoji15][emoji15]
Shule ulikwenda kusomea "ungeseeeerrrrr"?!!! [emoji1787][emoji15]
Taharifa inasema baba mzazi soma vizuriSpiritual father!!
Kuna watumishi vijana wenye 30 yrs lakini Wana watoto waliowazaa kiroho wenye 90 yrs,
So usishangae.
Makanisa yote na misikiti huku vichochoroni yanavibali?Mimi simo Mkuu, Ila mtazamo tu hajaonewa maana kweli hana vibari.
Ngoja niitafute hiyo clip kwanza labda ndio utaelewa!Hujaeleweka
Imesema baba mzazi Kweli, lakini haikusema mzazi wa KIMWILI au kiroho.Taharifa inasema baba mzazi soma vizuri
Mamlaka ni watu na Tanzania watu wengi wana dini. Hamna kiongozi Tanzania anaweza kushinda vita ya dini ni muhimu tusifike huko. Sa100 lazima ajue Tanganyika siyo ZanzibarWenyewe si walisema wanaonwa Manyani.. haya sasa wameyatimba.
Mie nilichojifunza katk hii Dunia hasa hapa Tanzania hakuna lolote utakaloweza kulifanya ukatunishiana kifua na MAMLAKA. never, hakuna support yoyotee ile ukijifanya kujitoa muhanga hakuna hata mmoja atakaekukumbuka kipindi unanyea ndoo. Majitu ni manafki.
Tafuta hela jenga familia yako tulia kimya.
Kupata hicho kibali kinachukua karne ngapi kukipata?.Mimi simo Mkuu, Ila mtazamo tu hajaonewa maana kweli hana vibari.
Huyu mwarabu sasa tumemjua vizuriHili linatosha kumuondoa Sa100 madarakani. Watanzania acheni uzombi. Mtafungwa wote.
Bebeni hata marungu muingie ikulu.