Baba wa Taifa na Mizengwe - Makala ya Askofu Bagonza

Baba wa Taifa na Mizengwe - Makala ya Askofu Bagonza

Mbaya zaidi Kundi kubwa la wajinga hao ni Waajiriwa Serikalini....

Dereva Kipofu, Konda ni Kiziwi na Abiria ni Mabubu....sijui safari yetu kama tutafika salama !!
 
Amenena Baba Askofu Dr Benson Bagonza ambaye ni mkuu wa Dayosisi ya KKKT Karagwe.

Kama una maswali, manung'uniko, mapovu, maoni, shukurani, nk - elekeza kwake Baba Askofu mwenyewe atakuhudumia kwa kadri ya mahitaji yako.

Shukurani nyingi sana kwako Baba Askofu Bagonza kwa mafundisho yako yenye upako wa kuponya roho na nafsi.


View attachment 1477530
Population factor ameiweka kichwani lakini?
 
Eti sheria asishtakiwe kwa maovu yake akiwa madarakani!!!! Maana yake ndiyo kapewa go ahead ya kufanya kila aina ya dhambi dhidi ya Watanzania akijua sheria za Nchi HAZITAMGUSA kwani yeye yuko juu ya sheria. 😳😳😳
Kidikiteta chetu kinatuendesha sana,Jk alitukosea sana Watanzania kutuletea mtu wa namna hii
 
Naombea sana wamtose huyu hiyo July na kuja na mtu mwingine, hafai hafai kabisa. Bila ya shaka hata yeye na Mkapa WANAJUTA kutuletea huyo dikteta, na sasa hivi kuna juhudi kubwa sana za kumnadi.


Kidikiteta chetu kinatuendesha sana,Jk alitukosea sana Watanzania kutuletea mtu wa namna hii
 
Amenena Baba Askofu Dr Benson Bagonza ambaye ni mkuu wa Dayosisi ya KKKT Karagwe.

Kama una maswali, manung'uniko, mapovu, maoni, shukurani, nk - elekeza kwake Baba Askofu mwenyewe atakuhudumia kwa kadri ya mahitaji yako.

Shukurani nyingi sana kwako Baba Askofu Bagonza kwa mafundisho yako yenye upako wa kuponya roho na nafsi.


View attachment 1477530
Enzi hizo Mwalimu alianza na mtaji wa watu 10.35 milion ,sasa tuko mara sita ya hiyo population
 
Enzi hizo Mwalimu alianza na mtaji wa watu 10.35 milion ,sasa tuko mara sita ya hiyo population
suala la population ni nonsense.

sasa hivi wajinga wapo na wanaonekana na kusikika wazi wazi hata kwenye mihimili yetu (bunge, mahakama na executive).
zamani mwalimu hakuruhusu uhuni kwenye mihimili!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Eti sheria asishtakiwe kwa maovu yake akiwa madarakani!!!! Maana yake ndiyo kapewa go ahead ya kufanya kila aina ya dhambi dhidi ya Watanzania akijua sheria za Nchi HAZITAMGUSA kwani yeye yuko juu ya sheria. [emoji15][emoji15][emoji15]
Aiseee!
 
population factor ni immaterial kwani sasa hivi wajinga wapo na wanaonekana na kusikika wazi hata kwenye taasisi muhimu kama bunge, mahakama na executive.
Wajinga wanaonekana sababu ya mitandao na utandawazi, maana ujinga unaonekana mtu akizungumza na akitenda Zaman hapakuwa na urahisi wa watu kufahamiana bila hata kuonana kama ilivyo Leo
 
suala la population ni nonsense.

sasa hivi wajinga wapo na wanaonekana na kusikika wazi wazi hata kwenye mihimili yetu (bunge, mahakama na executive).
zamani mwalimu hakuruhusu uhuni kwenye mihimili!
Zaman hakukuwa simu, television Radio walikuwa nazo wachache, hivyo zamani bila kuwa na hivyo vitu usingeweza kusikia wala kuona ujinga wa kijiji cha Jirani maana usingekuwa na means ya kupata taarifa zao wala kuwasikia
 
Wajinga wanaonekana sababu ya mitandao na utandawazi, maana ujinga unaonekana mtu akizungumza na akitenda Zaman hapakuwa na urahisi wa watu kufahamiana bila hata kuonana kama ilivyo Leo
siku hizi hata Daily News, TBC (zamani RTD) na Uhuru vinaripoti ujinga.
vyombo hivi vyote enzi za mwalimu vilikuwapo lakini hakukuwa na taarifa za ujinga.
 
Huo ujinga uliofutwa enzi za Nyerere ni upi?
 
Huo ujinga uliofutwa enzi za Nyerere ni upi?
mbunge kumwita rais eti ni Yesu.

au RC kumwamuru Mungu amshukuru Magufuli kwa kazi iliyotukuka.

au rais wa nchi kujitangaza kuwa anastahili kuwa kiongozi wa malaika wa Mungu.

nk, nk, nk, nk.

ujinga wa jinsi hii enzi za mwalimu usingeweza kuukuta hata kwa mwenyekiti wa kitongoji!
 
siku hizi hata Daily News, TBC (zamani RTD) na Uhuru vinaripoti ujinga.
vyombo hivi vyote enzi za mwalimu vilikuwapo lakini hakukuwa na taarifa za ujinga.
Waliweza kuaccess hivyo vyombo ni wachache sana, kununua radio enzi hiyo ulitakiwa kuwa na ukwasi wa kutosha
 
Back
Top Bottom