Zote hizo ni propaganda Za kivukoni ukichanganya Na Za PengoMbona huongei juu ya wapigania uhuru wa Zanzibar, au kwa sababu wenyewe ni weusi waliyokuwa wanagandamizwa na Waislamu wenzao. Na mpaka leo unataka Sultani aliyepinduliwa na weusi arudi kuwagandamiza Waislamu wenzake weusi, au ni sawa kuwagandamiza weusi, wawe wakristu au wailslamu. Je, lini utaongelea ugandamizwaji wa Wakristu huko Zanzibar, ambako Mkristu wa kwanza na Mwisho kushika wadhifavwowote alikuwa Isaac Sepetu. Wewe hujui Zanzibar kuna wakristu ambao wakikkutwa wanakula mchana wakati wa kufunga wanaswekwa lupango!
Ksk,Mbona huongei juu ya wapigania uhuru wa Zanzibar, au kwa sababu wenyewe ni weusi waliyokuwa wanagandamizwa na Waislamu wenzao. Na mpaka leo unataka Sultani aliyepinduliwa na weusi arudi kuwagandamiza Waislamu wenzake weusi, au ni sawa kuwagandamiza weusi, wawe wakristu au wailslamu. Je, lini utaongelea ugandamizwaji wa Wakristu huko Zanzibar, ambako Mkristu wa kwanza na Mwisho kushika wadhifavwowote alikuwa Isaac Sepetu. Wewe hujui Zanzibar kuna wakristu ambao wakikkutwa wanakula mchana wakati wa kufunga wanaswekwa lupango!
Nafikiri wewe hujui kama hujui.Soine,
Hujui.
Na kama hujui ndiyo hujui.
Utasema kile ukijuacho.
Mimi najua na naeleza nikijuacho.
Hakuna tatizo.
Mose...Nadhani unamjibu mzee wa 80:20. Umekosea kuniquote
Na wewe ukaiamini kama ilivyo kwasababu ilikufurahisha?Mose...
Document ya 20:80 siwezi kuchukua credit kwa kazi ile.
Ni masterpiece.
Waliotafiti na kuiandika ni Shura ya Maimamu.
Soma tena ndiyo ujibu. Ni wapi ulitetea haki za Wakristu Zanzibari. Harith na wewe iko dugu moja. Tena huyo Harith ni mtetea Sultan. Wewe si ndiyo yuleyule wa TANZANET katika miaka ya 95-2005. Na huko miaka ya nyuma yalikuwa haya haya. Harith Ghassany is a Sultan sympathizer. He glorified the sultan of Zanzibar and up to today he is in Muscat, Oman, hoping one day the sultan will come back to Zanzibar to enslave Blacks. He was actually the chief auctioneer profiting from the selling of Black Tanganyikans people to whites. The Sultan, Harith, and you believe that there is nothing wrong selling Black non Muslims as slaves. I know you know this. You also know about the clandestine slavery business done by your people taking Black girls to Muslim countries to be enslaved... don't tell me you don't know this. When are you going to fight for these poor girls sent to Oman, Saudi Arabia, etc., to suffer without bitterness. Wewe unahangaika tu na kusikokuhutaji.Ksk,
Nilikuwa msaidizi wa Dr. Harith Ghassany wakati anatafiti historia ya mapinduzi ya Zanzibar.
Kwa njia moja nimesaidia katika kufahamika kwa historia ya Zanzibar.
Nakushauri uisome historia ya Zanzibar vizuri kwanza kabla hujataka kuijadili.
Huko Zanzibar je! How are they inclusive as far as religion is concerned!Tangawizi,
Haiwezekani ikawa hivyo kuwa Waislam ni wajinga kama ulivyosema.
Haiwezekani ikawa watu wa dini moja wao ndiyo wana akili ya kuhodhi kila kitu kwa kuwa wenzao ni wajinga.
Hakuna popote ambapo Waislam wamedai upendeleo.
Bahati mbaya sana serikali inaliogopa sana suala hili hivyo hawako tayari kulizungumza hadharani.
Hiyo 20:80 ni nini? Ndiyo uiiano wa wasislamu na wakristu? Kama ni hiyo hiyo msiyo kweli TZ au Tanganyika nhizo siyo ratio. Hizo ration ni sawa na kusema TZ ina wakeistu na bwailslam tu. Kuna aethists, koja, hindu, na majority mwanaoamini dini za makabila yao.Master...
Wengi mnakwepa kuzungumzia hii 20:80.
Mnakwenda kwenye mambo ambayo si moyo wa mjadala huu.
Ksk,Huko Zanzibar je! How are they inclusive as far as religion is concerned!
Mose...Na wewe ukaiamini kama ilivyo kwasababu ilikufurahisha?
Ksk,Nafikiri wewe hujui kama hujui.
Aethist siyo mpagani. Aethist ni mtu asiyeamini kuwepo kwa Mungu.Saf...
Ikiwa umekuja kujifunza karibu sana.
Nimewafunza wengi sana hapa JF na wengine wengi nje ya hapa.
Angalia hizo picha hapo juu kuna mengi ya kujifunza.
Kuna mtu kaleta hoja ya Wapagani jibu lake ndilo hilo hapo juu.
Je, umejifuza nini katika picha hizo.
Kabla ya mimi kuzileta izo picha ulipata kuziona popote katika historia ya TANU na kupigania uhuru wa Tanganyika?
Sasa jiulize kwa nini?
Kwahiyo mmefanikiwa Nini mpaka sasa?Mose...
Nilikuwa wa kwanza kuisambaza.
Wewe si umeishaandika! Sasa unataka hiyo historia iandikwe wapi?Scars...
Najibu maswali mengi sana hapa ila ninapoona mtu anataka kunifunga kwenye ubishi namuacha kama alivyo kwa kuwa si rahisi kumjibu mtu swali lake kama yeye anavyotaka kujibiwa.
Mimi hapa nipo kusomesha historia ya kweli siko katika ubishi.
Sidhani kama neno ''kupinga,'' ni sawa katika muktadha huu.
Nilichofanya mimi nimesahihisha vitu muhimu sana katika historia ya Tanganyika.
Mathalan historia ya Kimambo na Temu (1961) na historia ya Chuo Cha CCM Kivukoni (1981)kuhusu TANU zote zinaanza na Julius Nyerere na zinarashiarashia historia ya African Association (AA).
Mimi nimeanza kitabu changu kueleza historia ya AA na historia za koo mbili mashuhuri katika Dar es Salaam ya 1950s - Plantan na Sykes.
Ikiwa unaona tabu kurejeshwa kwenye ukweli hili halina ugomvi unaweza ukabakia na historia yako kuwa Mwalimu Nyerere ndiye aliyeunda TANU peke yake.
Lakini mimi katika hili nitakupa ushahidi kuwa TANU iliundwa nyumbani kwa Abdul Sykes Mtaa wa Aggrey na Sikukuu na nitakutajia mpaka no. ya kadi ya Abdul Sykes no. 3, Ally Sykes no. 2, Julius Nyerere no. 1.
Sitoishia hapo nitakuelea kuwa na hizo kadi za TANU alinunua Ally Sykes kutoka mfukoni kwake na kadi ya Mwalimu iliandikwa na Ally Sykes.
Naiachia akili yako ijiulize ikiwa historia ni hii mbona anatajwa Nyerere peke yake miaka nenda miaka rudi?
Wewe unajuaje hakuna aliyeuliza ukweli. Yaani unataka kutuamisha ni wewe tu umieandika!Day...
Mimi nakuruhusu siyo uwe na shaka nami bali usiamini hata kuwa historia niliyoandika ina ukweli.
Tumeishi miaka tele na historia ya Kimambo na Temu na ya Chuo Cha CCM Kivukoni.
Hakuna aliyeuliza ukweli wake na maisha yaliendelea.
Huyi Sykes mwenyewe hakuwa Mtanzania. Nani angemuamini Msouth Africa? Nyerere alimlipa Sykes mara elfu. Aliwahifadhi ndugu zake Sykes na kuwasaidia kupambana na makaburu. Damu nyingi za wazalendo zilimwagika kusaidia ndugu zake Sykes. Mbona hii huisemi! Hata sisi tumekula chumvi na tunajuwa historia. Sisi tunajihusisha na historia ya kweli na ya kujenga, wewe unajihusisha na historia iliyojificha kwenye udini, na ni yakubomoa.Sop...
Suala si hilo.
Tatizo ni kufutwa kwa historia ya Abdul Sykes na wazalendo wengine katika historia ya TANU.
Si swala la vyeo baada ya uhuru.
Hakuna anaekataa uwezo wa Mwalimu.
Soma kitabu cha Abdul Sykes yote hayo nimeeleza.
Usiandike ukiwa umeghadhibika.
Mimi naeleza historia ya wazee wangu vipi walipigania uhuru wa Tanganyika.
SaiviSoine,
Sasa nakufahamisha.
Hali ilivyo katika serikali ni hii:
Wakristo wamehodhi 80%
Waislam 20%
Ukitaka maelezo zaidi nifahamishe nikuwekee mchanganuo.
Hili ndilo tatizo linalotukabili ulilokuwa hujui.