Baba wa Taifa na tatizo la Udini

Baba wa Taifa na tatizo la Udini

Nikawaomba watoe mfano wa nchi moja tu duniani ambako wachache walisimama kuikomboa nchi yao
Mi nakupa huo mfano na nchi yenyewe ni Zanzibar. Wamanga wapo wachache lakini walipambana wakapata uhuru wa Zanzibar tena wao wakiwa ndiyo watawala....hao maprofesa wako wa Iowa inaonekana walipitiwa. Naweza kukupa tena mifano ya nchi 3 ukitaka.


Kwa nn unaamini Waislam ni wengi nchi hii. Na mm nitakwambia naamini Wakristu ni wengi. Na wala hautakuwa na premises zozote za kunibishia.

Hicho kitabu cha Sykes umeandika wewe na hapa unataka ndiyo kiwe rejea...inawezekanaje?
 
Saf...
Kinachotafutwa si faida au hasara.

Kinachotafutwa ni uwiano na haki kwa wananchi wote kushiriki katika uongozi.

Kuachia watu wa dini moja kuhodhi serikali kunaleta fitna katika jamii.

Kinachotafutwa ni kuondoa hii fitna ili upatikane umoja.

Waza kwa dakika moja hayo majina hapo chini wangekuwa Waislam watupu.

Balaa lake lingekuwa kubwa.

View attachment 2100132
Wangemtuka Sana Samia
 
Ukweli unauma , unawapa kazi hawa vijana na propaganda walizopigwa
Jagina,
Tuna wajibu mkubwa wa kueleza historia ya wazee wetu walivyokuwa watu wema.

Mwanģalie Mwalimu katika hizo picha jinsi alivyopokelewa na wenyeji wake.

Tukifanya hivi ukweli utafahamika na watajiuliza hizi chuki na huu ubaguzi wa leo umetokea wapi?
 
Samia kasherehekea Birthday ya Kiislamu au Kikristu/ Kizungu ? Ametimiza miaka ya Kiislamu au Kikristu ?
 
Samia kasherehekea Birthday ya Kiislamu au Kikristu/ Kizungu ? Ametimiza miaka ya Kiislamu au Kikristu ?
Ona akili za Hawa wajinga that why ccm will rulling party if Hawa stupid wakiendelea kuwepo
 
Kijakazi,
Waislam hatuna ujinga huo wa kupambania dini yetu katika jumuiya hii ya watu wa dini tofauti.

Laiti wazee wetu wangefuata njia hiyo Mwalimu asingekuwa kiongozi wa nchi hii.

Tunachokipigani ni haki na usawa.
Angalia picha hii na hawa ni akina mama mwaka wa 1955:







View attachment 2096562
Mwl Nyerere kuwa kiongozi wa Taifa hili was inevitable,whether wazee wako mudi wangependa au wasingependa.
 
Kei...
Unaandika hivi kwa kuwa hujui tatizo lilipo.
Sikulaumu.

Ili kujua tatizo lilipo inahitaji usome historia ya tatizo hili wapi lilikotokea.
Chanzo ni ukoloni.

Wakati wa kupigania uhuru Waislam walijitolea sana kupita kiasi na katika azma yao ilikuwa kuondoa dhulma ambayo wamishionari na serikali ilikuwa inawafanyia kubwa kuwanyima elimu.

Elimu ikitolewa kwa ubaguzi wa dini.

Waislam waliamini uhuru ukipatikana na kwa kuw wao ndiyo walikuwa mstari wa mbele dhulma hii itaondolewa.

Rejea nyuma msikilize Mwalimu alisema nini katika Hotoba yake ya Jamhuri ndani ya Bunge mwaka wa 1962 na alisema nini alipoacha urais mwaka wa 1985.

Naamini utaelewa.
Lau ikiwa bado rejea tena hapa nitakuongozea.
Saa hizi nani anawanyima Elimu...mbona vijana wenu shule inawashinda.

Top 10,2021watu 8 wote wakristo.unakuja hapa kulialia badaala ya kuwapa watoto elimu
Screenshot_20220115-165430_Samsung%20Internet.jpg
 
Nyerere aliweka misngi mibovu kabisa, haiwezekani nchi iwe % 20: 80 za kiutawala au kimadaraka
 
Mada kama hizi hazina afya kwa kipindi cha sasa.
Labda ziongelewe kwenye makongamano ya dini.

Sasa hivi ni ulimwengu wa sayansi na teknolojia.
Pia watu walio wengi sio watu wa dini.

Udini wowote ni udhaifu wa fikra.
 
Inside 10,
Hapana mimi hapa silalamiki.
Hapa mimi nasomesha ambayo pengine wewe hukuwa unayajua.

Ulalamishi una faida gani?
Tunakufahamu. Wewe siku zote huna lingine zaidi ya kuangalia kila kitu kwa kutumia kioo cha dini ya Kiislamu. Hata huko kaburini hayahaya yatakusumbua. Endelea kuhangaika, nobody is listening, na vitabu vyako vinaota buibui kwa kutokununuliwa. Nani apoteze muda kusoma maandishi ya mdini.
 
Tangawizi,
Soma kwa utulivu utaelewa kuwa ninachozungumza ni kuwa kuna tatizo serikali wanalikwepa toka enzi ya Mwalimu.

Hakuna popote nilipozungumza kuhusu, "special status," kwa Waislam.

Unadhani hii 20:80 ni sawa?

Ukishakuwa na hali hii tayari serikali yenyewe ishawagawa raia wake katika matabaka makubwa mawili.
Serkali haijafanya hivyo, wewe ndiyo umewagawa. Serkali yenyewe imeongozwa na Wakristo na waislamu kwa zamu: Nerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli, na sasa Samia
 
Mwaka huu Kuna Sensa, tusubiri mzee aanze kuchochea waislamu wakatae kuhesabiwa mpaka pale dodoso la Sensa litakapowekwa kipengele cha dini.
Hii habari ya kuwa wengi ndiyo wanapigania siyo sayantifiki na haina mashiko. Hata minority (wachache huwa wanapigania uhuru/haki. Kama nadharia yako ina mashiko basi Wasukuma nafikiri waliongoza, maana ndiyo wengi kuliko kundi lolote, kama tutafikiria makabila.
 
Hii habari ya kuwa wengi ndiyo wanapigania siyo sayantifiki na haina mashiko. Hata minority (wachache huwa wanapigania uhuru/haki. Kama nadharia yako ina mashiko basi Wasukuma nafikiri waliongoza, maana ndiyo wengi kuliko kundi lolote, kama tutafikiria makabila.
Nadhani unamjibu mzee wa 80:20. Umekosea kuniquote
 
Mose...
Umeghadhibika.

Ningekuwa mchochezi siku nyingi ningeshitakiwa.

Wala siko nyuma katika kudai haki za Waislam.

Niko katika YouTube na nimeandika vitabu kadhaa na vinauzwa madukani.

Kitabu changu cha kwanza ni 1998 na cha mwisho ni 2020 na vyote vimependwa na wasomaji vingine vimechapwa mara 4.

Nafahamika kwa sura na sauti.

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES
1. The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.
2. The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006
3. Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.
4. Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.
5. Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.
6. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.
7. Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
8. Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam
9. Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam
10. Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam
11. The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam
12. Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam
13. In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).
14. Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).
15. Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)
16. The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).
17. Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).
18. The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).
19. Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).
20. Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).
21. Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).
22. Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).
23. Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.
24. Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.
25. Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.
26. Awards: Several Awards
27. Visiting Scholar: (2011)
28. University of Iowa, Iowa City, USA
29. Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
30. Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.
31. OTHER COUNTRIES VISITED
32. Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.

Sijapata kuwa na jambo lolote la maana unasema.

Naamini sasa umenijua.
Haya ndiyo niliyotaka uyajue.
Mbona huongei juu ya wapigania uhuru wa Zanzibar, au kwa sababu wenyewe ni weusi waliyokuwa wanagandamizwa na Waislamu wenzao. Na mpaka leo unataka Sultani aliyepinduliwa na weusi arudi kuwagandamiza Waislamu wenzake weusi, au ni sawa kuwagandamiza weusi, wawe wakristu au wailslamu. Je, lini utaongelea ugandamizwaji wa Wakristu huko Zanzibar, ambako Mkristu wa kwanza na Mwisho kushika wadhifavwowote alikuwa Isaac Sepetu. Wewe hujui Zanzibar kuna wakristu ambao wakikkutwa wanakula mchana wakati wa kufunga wanaswekwa lupango!
 
Hii habari ya kuwa wengi ndiyo wanapigania siyo sayantifiki na haina mashiko. Hata minority (wachache huwa wanapigania uhuru/haki. Kama nadharia yako ina mashiko basi Wasukuma nafikiri waliongoza, maana ndiyo wengi kuliko kundi lolote, kama tutafikiria makabila.
Ksk,
Haya yote yanaboresha historia ya Tanganyika.

Hakuna tatizo.
 
Back
Top Bottom