Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
Kuna Wengine Baba zetu wameifanyia makubwa Tanzania hii tena mpaka Kujitoa Mhanga kabisa kwa kuhatarisha Maisha yao Kiusalama kwa Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili Tanzania isimame kama ilivyosimama sasa lakini wala hatujisifu na hata Mzazi Mwenyewe nae hataki Sifa ( Kujikweza ) kama wengineo.Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0OA
View attachment 1920369
Wewe ni mwana CCM damu kamanda wa UVCCMMzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0OA
View attachment 1920369
Jamii haikosei. Sauti ya jamii ni sauti ya Mungu. Sauti hiyo inasema na sauti hiyo inamnyanyua Mbowe kwasababu ya matendo ya baba yake sauti hiyo hiyo inasema "Mbowe sio gaidi". Unajipa ukituko kupingana nayo na kujikweza kwako kusukojulikana weye na mzazi wako asiyejulikana na jamii hiyo hiyoKuna Wengine Baba zetu wameifanyia makubwa Tanzania hii tena mpaka Kujitoa Mhanga kabisa kwa kuhatarisha Maisha yao Kiusalama kwa Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili Tanzania isimame kama ilivyosimama sasa lakini wala hatujisifu na hata Mzazi Mwenyewe nae hataki Sifa ( Kujikweza ) kama wengineo.
Kinachonishangaza kila nikimuuliza Mzee wangu ni kwanini hataki Kujionyesha na Kujisifu Hadharani kama wafanyavyo Wengine jibu ambalo huwa ananipa ni moja tu kuwa anaipenda Tanzania kuliko ajipendavyo Yeye na anajiona ni mwenye Faraja Kubwa mno Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika Kuipambania Tanzania hii na nchi nyingi za Afrika Kiukombozi.
Na si Mzazi wangu tu pekee ila nina uhakika wapo pia Wazazi wa Watanzania Wengine wameifanyia makubwa na ya Kushukuriwa Tanzania hii kuliko hata huyu Baba yake Freeman Mbowe, lakini wala hawana Shobo na hawataki Kutukuzwa au Kuogopeka.
Halafu Uhalifu / Makosa ya Mbowe yanahusiana vipi na Mafanikio ya Baba katika Kuchangia Kuipambania Tanzania hii katika Ukombozi na Uhuru wake? Nilidhani kwa Heshima ya Baba yake Mbowe basi ndiyo angekuwa Raia mwema Tanzania ili awe mfano Bora kwa Kizazi hiki cha sasa ila imekuwa ni Kinyume.
Tanzania ni Kubwa kuliko Mbowe wenu.
Sasa hata kama hataki sifa wewe tu ungemtaja huyo baba yako hata kwa jina tu, kutokumtaja jina na kuongea bila evidence unataka tu kumdhalilisha tu Freeman Mbowe na wivu wako.Kuna Wengine Baba zetu wameifanyia makubwa Tanzania hii tena mpaka Kujitoa Mhanga kabisa kwa kuhatarisha Maisha yao Kiusalama kwa Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili Tanzania isimame kama ilivyosimama sasa lakini wala hatujisifu na hata Mzazi Mwenyewe nae hataki Sifa ( Kujikweza ) kama wengineo.
Kinachonishangaza kila nikimuuliza Mzee wangu ni kwanini hataki Kujionyesha na Kujisifu Hadharani kama wafanyavyo Wengine jibu ambalo huwa ananipa ni moja tu kuwa anaipenda Tanzania kuliko ajipendavyo Yeye na anajiona ni mwenye Faraja Kubwa mno Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika Kuipambania Tanzania hii na nchi nyingi za Afrika Kiukombozi.
Na si Mzazi wangu tu pekee ila nina uhakika wapo pia Wazazi wa Watanzania Wengine wameifanyia makubwa na ya Kushukuriwa Tanzania hii kuliko hata huyu Baba yake Freeman Mbowe, lakini wala hawana Shobo na hawataki Kutukuzwa au Kuogopeka.
Halafu Uhalifu / Makosa ya Mbowe yanahusiana vipi na Mafanikio ya Baba katika Kuchangia Kuipambania Tanzania hii katika Ukombozi na Uhuru wake? Nilidhani kwa Heshima ya Baba yake Mbowe basi ndiyo angekuwa Raia mwema Tanzania ili awe mfano Bora kwa Kizazi hiki cha sasa ila imekuwa ni Kinyume.
Tanzania ni Kubwa kuliko Mbowe wenu.
Gaidi Hamza Ni zao la CCM na matunda yake tumeyaona wote.Kesi ya Ugaidi kaitafuta yeye Mwenyewe Mbowe.
Mbona viongozi wenzake kina;
John Mnyika, Mrema, Benson kigaila, n.k "hawakupewa " kesi ya ugaidi?
Mbowe anavuna alicho kipanda mwenyewe.
Kama wazazi wake walisaidia kupigania Uhuru wa nchi hii basi yeye alipaswa kuwa mfano mzuri na mwema kwa nchi yake, alipaswa awe mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
badala yake amekuwa msaliti na muovu dhidi ya Taifa lake mwenyewe,
amekuwa akiichonganisha nchi na mataifa mengine, amekuwa akihamasisha uvunjifu wa amani, amekuwa akiwahamasisha wafuasi wake kufanya vurugu na kuigomea Serikali, n.k.
Anawakosea sana hata wazazi wake ambao pia wanamchango wa kuijenga nchi hii.
Mkuu huwa hauna utaratibu wa kutumia akili zako kwa uzuri.Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0OA
View attachment 1920369
Sema babako alihatarisha maisha yake kukutafuta wewe na sio hizi porojo ulizoandika hapaKuna Wengine Baba zetu wameifanyia makubwa Tanzania hii tena mpaka Kujitoa Mhanga kabisa kwa kuhatarisha Maisha yao Kiusalama kwa Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili Tanzania isimame kama ilivyosimama sasa lakini wala hatujisifu na hata Mzazi Mwenyewe nae hataki Sifa ( Kujikweza ) kama wengineo.
Kinachonishangaza kila nikimuuliza Mzee wangu ni kwanini hataki Kujionyesha na Kujisifu Hadharani kama wafanyavyo Wengine jibu ambalo huwa ananipa ni moja tu kuwa anaipenda Tanzania kuliko ajipendavyo Yeye na anajiona ni mwenye Faraja Kubwa mno Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika Kuipambania Tanzania hii na nchi nyingi za Afrika Kiukombozi.
Na si Mzazi wangu tu pekee ila nina uhakika wapo pia Wazazi wa Watanzania Wengine wameifanyia makubwa na ya Kushukuriwa Tanzania hii kuliko hata huyu Baba yake Freeman Mbowe, lakini wala hawana Shobo na hawataki Kutukuzwa au Kuogopeka.
Halafu Uhalifu / Makosa ya Mbowe yanahusiana vipi na Mafanikio ya Baba katika Kuchangia Kuipambania Tanzania hii katika Ukombozi na Uhuru wake? Nilidhani kwa Heshima ya Baba yake Mbowe basi ndiyo angekuwa Raia mwema Tanzania ili awe mfano Bora kwa Kizazi hiki cha sasa ila imekuwa ni Kinyume.
Tanzania ni Kubwa kuliko Mbowe wenu.
Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0
Nyerere alisaidiwa na watu wengi tu kuna wengine walimasaidia mpaka sehemu ya kulala na kula mpaka nguo za kuvaa sasa unataka Mbowe apambane na rais aachwe kisa baba yake alikuwa anajuana la Nyerere
Ndio maana nawaambia wenzangu wawe na busara kujenga hoja.Nyerere alisaidiwa na watu wengi tu kuna wengine walimasaidia mpaka sehemu ya kulala na kula mpaka nguo za kuvaa sasa unataka Mbowe apambane na rais aachwe kisa baba yake alikuwa anajuana la Nyerere
Your English is broken.Mkuu huwa hauna utaratibu wa kutumia akili zako kwa uzuri.
Could you kindly keep quiet?
Duh..KKesi ya Ugaidi kaitafuta yeye Mwenyewe Mbowe.
Mbona viongozi wenzake kina;
John Mnyika, Mrema, Benson kigaila, n.k "hawakupewa " kesi ya ugaidi?
Mbowe anavuna alicho kipanda mwenyewe.
Kama wazazi wake walisaidia kupigania Uhuru wa nchi hii basi yeye alipaswa kuwa mfano mzuri na mwema kwa nchi yake, alipaswa awe mzalendo wa kweli kwa nchi yake.
badala yake amekuwa msaliti na muovu dhidi ya Taifa lake mwenyewe,
amekuwa akiichonganisha nchi na mataifa mengine, amekuwa akihamasisha uvunjifu wa amani, amekuwa akiwahamasisha wafuasi wake kufanya vurugu na kuigomea Serikali, n.k.
Anawakosea sana hata wazazi wake ambao pia wanamchango wa kuijenga nchi hii.
Mkurugenzi wa Mawasiliano John Mrema alisema wazi kabisa alipo kuwa akizungumza na vyombo vya habari kuwa;
"huenda mwenyekiti alikuwa na mambo yake ya kisiri ambayo sisi wengine hatukuyajua....pengine alikuwa na handaki la silaha huko nyumbani kwake machame......sisi hatujui........" .
Mrema aliongea kiutu uzima sana na huku akizingatia kuwa Mbowe ni binaadamu sio malaika hivyo aliamini inawezekana Mbowe kutenda uhalifu bila wao kujua.
Hoja yako ni nini sasa?kweni baba yake kupigania uhulu wa nchi kunazuia tamaa za mtoto wake dhidi ya madaraka na pesa?Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0OA
View attachment 1920369
Kamanda mchovu,kwako wewe mawazo yako unaona ndio busara yako,kalale uchovu ukiisha urudi.Mzee AIKAELI MBOWE na mkewe BI AISHI, na huyo dogo hapo mbele katikati yao ndiye FREEMAN MBOWE. Mzee AIKAELI alipambana Sana wakati wa kutafuta Uhuru wa TANGANYIKA na alimsaidia Sana NYERERE katika HARAKATI zao za Kudai UHURU wa NCHI hii,Leo UTAWALA wa mama umempa kesi ya UGAIDI https://t.co/6b6d55U0OA
View attachment 1920369
Mkuu, kuna mahali Mbowe amejisifu?! Baba wa taifa anasifiwa sana, mama Maria akiulizwa kumhusu mumewe ataelezea, na maelezo yoyote atakayotoa ni sifa tupende tusipende, watoto na watu waliokuwa karibu na Nyerere wakimuongelea ni sifa tayari hata kama hatupendi!Kuna Wengine Baba zetu wameifanyia makubwa Tanzania hii tena mpaka Kujitoa Mhanga kabisa kwa kuhatarisha Maisha yao Kiusalama kwa Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ili Tanzania isimame kama ilivyosimama sasa lakini wala hatujisifu na hata Mzazi Mwenyewe nae hataki Sifa ( Kujikweza ) kama wengineo.
Kinachonishangaza kila nikimuuliza Mzee wangu ni kwanini hataki Kujionyesha na Kujisifu Hadharani kama wafanyavyo Wengine jibu ambalo huwa ananipa ni moja tu kuwa anaipenda Tanzania kuliko ajipendavyo Yeye na anajiona ni mwenye Faraja Kubwa mno Kushirikiana na Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere katika Kuipambania Tanzania hii na nchi nyingi za Afrika Kiukombozi.
Na si Mzazi wangu tu pekee ila nina uhakika wapo pia Wazazi wa Watanzania Wengine wameifanyia makubwa na ya Kushukuriwa Tanzania hii kuliko hata huyu Baba yake Freeman Mbowe, lakini wala hawana Shobo na hawataki Kutukuzwa au Kuogopeka.
Halafu Uhalifu / Makosa ya Mbowe yanahusiana vipi na Mafanikio ya Baba katika Kuchangia Kuipambania Tanzania hii katika Ukombozi na Uhuru wake? Nilidhani kwa Heshima ya Baba yake Mbowe basi ndiyo angekuwa Raia mwema Tanzania ili awe mfano Bora kwa Kizazi hiki cha sasa ila imekuwa ni Kinyume.
Tanzania ni Kubwa kuliko Mbowe wenu.
Upo sahihi Mbowe hana tabia za kijinga hivyoMkuu, kuna mahali Mbowe amejisifu?! Baba wa taifa anasifiwa sana, mama Maria akiulizwa kumhusu mumewe ataelezea, na maelezo yoyote atakayotoa ni sifa tupende tusipende, watoto na watu waliokuwa karibu na Nyerere wakimuongelea ni sifa tayari hata kama hatupendi!
Binafsi sijui ni lini Mbowe alijisifu au kumsifia baba yake japo siyo kosa kufanya hivyo kama isivyo kosa kwa wewe ulivyomsifia mzazi wako hapa.
Pamoja na hivyo....kwa nini mnamuongelea Mbowe kama mwenye hatia tayari?! Huo ndio wema wenu mnaojisifia?!