Baba yake Mbowe kusaidia kudai Uhuru sio defence ya Mbowe kutofanya uhalifu, tutumie busara kujenga hoja

Baba yake Mbowe kusaidia kudai Uhuru sio defence ya Mbowe kutofanya uhalifu, tutumie busara kujenga hoja

Jamii haikosei. Sauti ya jamii ni sauti ya Mungu. Sauti hiyo inasema na sauti hiyo inamnyanyua Mbowe kwasababu ya matendo ya baba yake sauti hiyo hiyo inasema "Mbowe sio gaidi". Unajipa ukituko kupingana nayo na kujikweza kwako kusukojulikana weye na mzazi wako asiyejulikana na jamii hiyo hiyo
Jibu lako linaonyesha kabisa wewe ni kyasaka Tena wa uru kishumundu
 
Pumbavu sina Shobo hizo au Ushamba huo ila Rais wako Mstaafu Kikwete na Hayati Mkapa bila kumsahau aliyekuwa Katibu Mkuu wa iliyokuwa OAU Dk. Salim Ahmed Salim wanamjua. Ndiyo alikuwa Mmoja wa Nyerere's Think Tanks katika Utawala wake.

Sina haja ya Kumtaja kwani haitokusaidia kivile ila aliyoyafanya kwa Tanzania yako hii na nchi nyingi za Barani Afrika ni ya Kishujaa na Kizalendo kweli kweli.

Na siandiki ( sijibu ) hivi kama labda Kujitapa kama ambavyo Wapumbavu wachache wa Mfano wako mnadhani bali imenilazimu kuja na haya ili kuonyesha ( kuwaonyesha ) kuwa wapo Watanzania wengi waliofanya makubwa na ya Thamani kwa Tanzania yetu hii kuliko hata huyo Baba yake Mzazi Freeman Mbowe.

Kwa Mfano kuna Mtu kama Nape Nnauye huyu nikiambiwa kuwa Baba yake Mzazi Brigedia Nnauye kafanya mengi na makubwa kwa Tanzania, Msumbiji na hata Afrika Kusini na anastahili Sifa kuliko Baba yake Mzazi Freeman Mbowe wenu nitakubali kwa 100%.

Tanzania ina Unsung Heroes wengi kuliko hawa mnaowasikia na bahati nzuri wenyewe huwa hawapendi Publicity bali wanafurahi kuona Tanzania walioipambania katika Mazingira magumu na ya Hatari leo iko hivi.

Nimemaliza.
Achana nao sio kisa tu umejitoa basi unadhani ndo tiketi ya kuwaongoza wengine.

Mie nakumbuka mbowe Tena alifosi kuwa hatukubali ama hatusubiri ruhusa itoke kwa raisi so tunafanya kwa lazima.mie hii kauli yake naikumbuka kabisa.

Mana aliwaambia ngoja kwanza nitawapa go ahead Ila Mmachame kisa wao wamesoma hapa Sina wivu, akawa na kiburi akajiona kuwa Wana haki Sana.
Wewe kuzaliwa MTT wa kwanza ama kuwa na pesa na elimu yako sio tiketi ya kuwanyanyasa wadogo zako.

Pia mnavyodai babaye mmachame alikuwa think tanks ya Nyerere sijui ni kwa Nini hakuwa zaidi ya Nyerere.
Yaani wamachame Nyerere angekuwa ametokea kwao nadhani tusingekuwa tunaongea.

Yaani Mana wakifanya kidogo wanatupa shida Sana hata hatulali jamani.
Yaani ni fujo tupu.
 
Back
Top Bottom