TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

Majina ya Mwa--- yanatumika sana kwa wanyakyusa lakini haimaanishi kila Mwa--- ni mmyaki. Haya majina ya Mwa--- yapo pia makabila mengine ya mikoa ya Mbeya, Njombe na Iiringa.

chifu mkwawa alikuwa na jina la Mwamuyinga lakini ni mhehe,

Mwanshinga ni jina la chifu wa wasafwa, pia wapo wasafwa kina mwaihoyo, mwantinda, mwandele, mwanzanga, mwasote, n.k.

Nilikuwa na rafiki baba yake yupo jeshini anaitwa Mwamanga lakini alikuwa mbena, pia wapo wabena wengine kina mwajombe, mwandulami, n.k

Wapo kina Mwakipande ni wakinga,

, n.k.

Point yangu kuu ni kwamba tusiwe na haraka kufanya hitimisho
Mwakinyo naye ni wa Mbeya ?
 
RIP Afande mstaafu

1672598165186.png
 
Back
Top Bottom