TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

Kuna wasanii wengi tu wamekulia familia mambo safii na baba zao watu smart kiakili .

Wema sepetu. Baba yake kashika vyeo kibao vikubwa mpaka ubalozi.

Irene uwoya baba yake rubani

Cyril kamikaze mama yake alikuwa mkurugenzi.

Young D baba yake generali wa jwtz

TUNDA wa whozu baba yake sabasita ni askari sniper mwenye heshima kubwa ndani ya jeshi la polisi. Na hata majambazi wanamuogopa.

Shaaa wa master jay. Baba yake professa udsm

Master jay producer baba yake alikuwa mkurugenz Tanesco.

Na wengine kibao sijawataja.

Wazazi mambo safi ni open minded wana tabia ya kuwaacha watoto wao wafanye wanachotaka..
Vice versa kan be tru pale ambapo mtoto haoni faida ya fani ya Baba kwenye familia.
 
View attachment 2461268
20221227_211309-jpg.2461124




Taarifa za kufariki kwake zimethibitishwa na mtoto wake David almaaruufu Young Dee aliepost msiba huo kwenye ukurasa wake wa mtandao wa instagram, jana tarehe 27-12-2023 mida ya jioni.
Mwanetu una haraka sana na 2023 au sio....
 
Back
Top Bottom