cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman nlichanganyaa madesa bhana, sorryMsodoki kapatwa na balaa gani tena?
Nlishachanganyaaa madesaaa, mweeeeh mnisameheee.Hapa umetoa boko cocastic young killer ndiye msodoki huyu aliefiwa ni daudi au young daresalaama
Rest in power Kamanda
Nimemuweka akilini sana msodoki kuliko ex wa mzazi mwenza wa Whozuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Young Killer a.k.a Msodoki
Young D a.k.a Young Dar es Salaam
Kinacho ongelewa sio hicho,umeulizwa ,una huakika Ni manziIla tendwe taratibu hatua kwa hatua hapa inaonyesha wanaume wote tumejua na tunafahamu tofauti kati ya young killer na young D ambapo hata nyimbo zao nyingi zinasikilizwa na sisi wanaume kwa hiyo kwa logic hii huyo manzi alikosea kwakua sio rahisi kuwa tofautisha haraka hawa marapa wa kizazi kipya.
Cc. cocastic njoo utupe mrejesho hapa tafadhali kuna utata juu ya gender yako tupe mwongozo tafadhali.
Alafu kipindi flani alikuwa mla ngadaKumbe dogo babaye ni 1 star general...
Nafikiri wao ndo wanaopaswaa kukupa uthibitishoo wee uutakao, kwann uje kwangu?? Ili hali utata wamekupa wao? Dai uthibitisho kutoka kwao. Lol.Ila tendwe taratibu hatua kwa hatua hapa inaonyesha wanaume wote tumejua na tunafahamu tofauti kati ya young killer na young D ambapo hata nyimbo zao nyingi zinasikilizwa na sisi wanaume kwa hiyo kwa logic hii huyo manzi alikosea kwakua sio rahisi kuwa tofautisha haraka hawa marapa wa kizazi kipya.
Cc. cocastic njoo utupe mrejesho hapa tafadhali kuna utata juu ya gender yako tupe mwongozo tafadhali.
Ooh okay.
Hadi hapa nimeshapata jibu kwa comment ☝️ Na msistizo wa Lol naijua hiyo wakati najifunza kutongoza nilijibiwa sana 🤣🤣🤣 King Kong III vipi hapa unakingine jibu hili pigia mstariNafikiri wao ndo wanaopaswaa kukupa uthibitishoo wee uutakao, kwann uje kwangu?? Ili hali utata wamekupa wao? Dai uthibitisho kutoka kwao. Lol.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaah, mnashindwa kutoa polee za msiba, mnawaza gender za watu kweli?Hadi hapa nimeshapata jibu kwa comment [emoji3516] Na msistizo wa Lol naijua hiyo wakati najifunza kutongoza nilijibiwa sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] King Kong III vipi hapa unakingine jibu hili pigia mstari
NB: ROUND HII MTAKANYAGANA [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hawa washikaji zangu wewe waache hii ni moja kati ya line za mashairi ya joslin kwenye niite basi mpenzi...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumekuchaaaah, mnashindwa kutoa polee za msiba, mnawaza gender za watu kweli?
Khaaaaah
Sent using Jamii Forums mobile app
Brig General Robinson Mboli Mwanjela ameagwa leo, asubuhi saa tatu pale Lugalo, na saa saba baada ya misa katika kanisa la Wazo Hill KKKT.View attachment 2461001
Brigedia Jenerali + Dokta, Robinson Mboli Mwanjela aliwahi kuhudumu kama mkuu wa Chuo cha Kijeshi cha Tiba - Lugalo.
Taarifa za kufariki kwake zimethibitishwa na mtoto wake David almaaruufu Young Dee aliepost msiba huo kwenye status yake instagram.
Mike Tee ni mnyakyusa, mama yake ndo muhehe wa TanangoziJina la Mwa--- sio kwa wanyakyusa pekee, limesambaa kwa makabila ya kanda za juu kusini.
Mike tee jina lake ni Mwakatundu lakini ni mhehe,
Nilikuwa na rafiki baba yake yupo jeshini anaitwa Mwamanga lakini alikuwa mbena,
Wapo kina Mwakipande ni wakinga,
Wapo wanaitwa kina mwashinga ni wasafwa, n.k
hata chifu mkwawa alikuwa na jina la Mwamuyinga.
Point yangu kuu ni kwamba tusiwe na haraka kufanya hitimisho
True saying it was a very touching moment kwa kweli..Brig General Robinson Mboli Mwanjela ameagwa leo, asubuhi saa tatu pale Lugalo, na saa saba baada ya misa katika kanisa la Wazo Hill KKKT.
Pale Lugalo zilitolewa heshima zote za kuaga kijeshi, na procession ya kuutoa mwili mortuary ilikuwa very touching.
Kule Wazo Hill Majenerali Mboma na Mwamunyange wamemwagia sifa za kazi yake kwa Ofisa huyu wa ngazi za juu aliyekuwa a very humble doctor.