TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

TANZIA Baba yake Young Dee, Brigedia Jenerali Dr. Robinson Mboli Mwanjela, afariki Dunia

Brig General Robinson Mboli Mwanjela ameagwa leo, asubuhi saa tatu pale Lugalo, na saa saba baada ya misa katika kanisa la Wazo Hill KKKT.

Pale Lugalo zilitolewa heshima zote za kuaga kijeshi, na procession ya kuutoa mwili mortuary ilikuwa very touching.
Kule Wazo Hill Majenerali Mboma na Mwamunyange wamemwagia sifa za kazi yake kwa Ofisa huyu wa ngazi za juu aliyekuwa a very humble doctor.
Huyu Brig General hakuwa amestaafu? Duh wanasafirisha au? Mzee
 
Huyu Brig General hakuwa amestaafu? Duh wanasafirisha au? Mzee
20221227_211309.jpg


Alikuwa ame retire.
RIP Brig Gen Mwanjela.
 
Young D
Ilikuaje akawa na itikadi za Mboga wakati mshua ni Mtu smart ? .

Kuna wasanii wengi tu wamekulia familia mambo safii na baba zao watu smart kiakili .

Wema sepetu. Baba yake kashika vyeo kibao vikubwa mpaka ubalozi.

Irene uwoya baba yake rubani

Cyril kamikaze mama yake alikuwa mkurugenzi.

Young D baba yake generali wa jwtz

TUNDA wa whozu baba yake sabasita ni askari sniper mwenye heshima kubwa ndani ya jeshi la polisi. Na hata majambazi wanamuogopa.

Shaaa wa master jay. Baba yake professa udsm

Master jay producer baba yake alikuwa mkurugenz Tanesco.

Na wengine kibao sijawataja.

Wazazi mambo safi ni open minded wana tabia ya kuwaacha watoto wao wafanye wanachotaka..
 
Kuna wasanii wengi tu wamekulia familia mambo safii na baba zao watu smart kiakili .

Wema sepetu. Baba yake kashika vyeo kibao vikubwa mpaka ubalozi.

Irene uwoya baba yake rubani

Cyril kamikaze mama yake alikuwa mkurugenzi.

Young D baba yake generali wa jwtz

TUNDA wa whozu baba yake sabasita ni askari sniper mwenye heshima kubwa ndani ya jeshi la polisi. Na hata majambazi wanamuogopa.

Shaaa wa master jay. Baba yake professa udsm

Master jay producer baba yake alikuwa mkurugenz Tanesco.

Na wengine kibao sijawataja.

Wazazi mambo safi ni open minded wana tabia ya kuwaacha watoto wao wafanye wanachotaka..
Kweli Mkuu
Kuna tofauti ya kuwa star na kuwa Mtu wa ajabu

Mfano prof Jay heshima yake katika mziki ni kubwa kuzidi hata waziri Mkuu katika jamii
So mbaya ni kuwa msanii then ukawa na tabia za Ajabu.
 
Jina la Mwa--- sio kwa wanyakyusa pekee, limesambaa kwa makabila ya kanda za juu kusini.

Mike tee jina lake ni Mwakatundu lakini ni mhehe,

Nilikuwa na rafiki baba yake yupo jeshini anaitwa Mwamanga lakini alikuwa mbena,

Wapo kina Mwakipande ni wakinga,

Wapo wanaitwa kina mwashinga ni wasafwa, n.k

hata chifu mkwawa alikuwa na jina la Mwamuyinga.

Point yangu kuu ni kwamba tusiwe na haraka kufanya hitimisho
Hapo Kwa mike t umechemka... Yeye ni mnyaki Sema wazazi wake wameloea iringa na kupiga maskani..
 
Kwa hiyo dogo akashindwa kufuata nyayo za mdingi akaamua kuwa mfokafoka![emoji26]
Alafu kwenye sinaga swaga no 6 ya young killer kuna mstari ana mdisi young d anasema anasikia "ana bar kwa nyuma"[emoji1]
 
Hata sitakuamini eti wewe dada mzurimzuri una makende kama sie au ni ule uzi wa mtu mwenye jinsia mbili uliwachanganya hawa jamaa wakashindwa kujielewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaaa sanaaa mbavu cnaa, sasa wee una amini nn? Au unataka kuamini nn?

Vyovyote unavyotaka kuamini wee amini, haitokupunguzia chochote, labda km una lako jingne. Hilo sasa halinihusuu.

Uzi wa majonzi ya msiba, mnaingizia mambo yasiyo husika, hata sijui mnawazagaa nn khaaaaah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom