Aah! Wapi..!!! Nimegundua we sio robort wala sio dume kama sie na hauna namna gani inayoning’inia chini ya miguu yako wala nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Although let me take this chance to congratulate you for what you’ve been carried dah! Ila jamaa amekuweza hapo ndipo ujanja wenu unapoishia kitumbo ndwii [emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sema endelea hivohivo mtu wangu usije ukaanza kunchukia ukan’tema mate bure na ikifika August mwezi uliosema utakua ndio sahihi kushusha usisahu kumpa jina kama langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787] am kidding
cocastic binti mwenye madaha yake na mlibwende kwelikweli...!!