sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Nahisi mzee aliwahi kufanyiwa matukio kadhaa ya usaliti na walio wahi kuwa marafiki zake ama ni yeye mwenyewe hakuwa anachagua marafiki sahihi na hivyo kutendwa na wenzake.
Sote tunajua kwamba watu wapo wazuri na wabaya lakini hii sio sababu ya kumbana mtoto kuwakwepa kabisa watu kwa kumkinga tu na wale wabaya, mtoto ni advantage kwake kujua hata namna ya kuishi na watu kupitia watoto wenzake ili hata ukubwani akianza kuishi mbali basi awajue watu wabaya wa kukwepa na wazuri wa kuwa nao.
Huu uoga wake ulioingia kwa watu ndio akataka kuanza kunijengea mazingira ya mimi kutokuwa na marafiki hasa utotoni.
Hii hali ilitaka kuniathiri sana kisaikolojia na pengine ningekuwa introvert,
lakini nashukuru nilipata akili ya kuona maisha nayofundishwa sio ya kawaida, mzee nilikuwa namgomea wazi kabisa na nilikuwa nakula stiki za kutosha tu ial matunda nilianza kuyaona.
Sote tunajua kwamba watu wapo wazuri na wabaya lakini hii sio sababu ya kumbana mtoto kuwakwepa kabisa watu kwa kumkinga tu na wale wabaya, mtoto ni advantage kwake kujua hata namna ya kuishi na watu kupitia watoto wenzake ili hata ukubwani akianza kuishi mbali basi awajue watu wabaya wa kukwepa na wazuri wa kuwa nao.
Huu uoga wake ulioingia kwa watu ndio akataka kuanza kunijengea mazingira ya mimi kutokuwa na marafiki hasa utotoni.
- Alikuwa anakazia sana sana sana nisiwaamini watu, watu ni wabaya nisijenge ukaribu nao yani hata watoto wa rika langu
- Alinikataza kuingiza marafiki hata iwe tunacheza kibarazani
- Nilikuwa getikali ndani tu, hata kusema niende kucheza mpira na majirani hakuna,
Hii hali ilitaka kuniathiri sana kisaikolojia na pengine ningekuwa introvert,
- Kwangu ilikuwa ngumu sana kujenga urafiki, rafiki ni moja na ni shuleni, namganda sana maana hakuna zaidi yake. nilikuwa najihisi vibaya akiwa na marafiki zake wengine maana mimi sina marafiki wengine.
- Nilikuwa naonewa kirahisi
- Sikujua michezo mingi sana ya utotoni
- Nikipata mwanya kutoka nje watoto wengine walikuwa wananikatalia kwenda kwao sababu kwetu hawaingii
- Mtaani nilikuwa sina urafiki na watoto wengine,
lakini nashukuru nilipata akili ya kuona maisha nayofundishwa sio ya kawaida, mzee nilikuwa namgomea wazi kabisa na nilikuwa nakula stiki za kutosha tu ial matunda nilianza kuyaona.