Baba yangu hakuwa anawaamini watu. Alianza kunijengea tabia ya ubinafsi na kujitenga, nashukuru nilistuka mapema

Ni vema kuwalinda watoto lakini usiwanyime fursa ya kujua namna ya kuishi na watu,

Mtu usipojua kuishi na watu ni ngumu sana, mtoto hatajua kuna watu wabaya na wazuri atapata wakati mgumu kujifunza ukubwani.
Watu hawakupi mafasi ya wewe kuyajua hayo. Just watch out, utaumizwa vibaya. Hapo unarushiwa mchele kuelekea kwenye tenga, ngoja wategue tenga likufunike ndipo utajua.
 
Hapo haujastuka wala nini, hapo umekaidi. Watu siyo wa kuwaamini, wengine wanakutia ubovu leo just uje ku sufffer 20 years later.
Watu ni ni wa kucheka nao kinafiki tu, siyo wa kula nao wala kulala nao.

Utakuja kumkumbuka baba yako.
 
ni heri kujifunza mapema namna ya kuishi na watu.

Iliniharibu sana kisaikolojia kiasi hata kujenga urafiki ilikuwa ngumu na nikiwa na rafiki namganda sana
Ninauhakika baba yako alikugundua mapema Kama asinge ku restrain Kama vile huenda ungepoteana mazima na kuharibikiwa kabisaaa,mzazi yeyote humoma mtt mapema kabisa ,Kuna watt Wana akili za kujitambua mapema mno yaani bado mtt tu lakini tayari ameahajitambua nn anapaswa kufanya na nn hapaswi kufanya ,yaani unakuta mtt humwambii ajisomee lkn unamkuta Yuko bize anajisomea ,humwambii adamke mapema kwenda shule lkn anadamka mapema na kujiandaa kwenda shule ,yaani hahitaji assistance ya kuambia nn Cha kufanya,lkn Kuna mtt mingine usipo ifuatilia umekula hasara,yaani atajichanganya na wahuni na mitabia ya ajabuajabu ,hivyo naamini baba yako alikugundua wewe ukipewa Uhuru utapotea mazima.so yr father was right.
 
Yale ndo maisha bro. Ingawa vipigo kwa wazazi na shuleni ilikuwa karibu kila siku. Mimi hadi kanisani tukienda mafundisho jumamosi kuna padri alikuwa akitupa adhabu kama zote. Yaani hakuna sehemu ilikuwa salama.. lakini pamoja na yote nilifurahia sana utoto wangu. Nakumbuka kuna siku kwenye ile michezo ya kibaba na mama nikataka nifanye kweli nikaishia kufumwa na mama wa binti.. yule mama alinipa kipigo kitakatifu kiasi kwamba nakuja kuonja utamu wa papuchi niko chuo mwaka wa pili.
 
nilikuwa najitambua vizuri tu wala sikuwa na shida.
 
Baada ya kupitia Baadhi ya comment nimegundua msimamo wngu sio mbaya, maana mwanzo nilikuwa na marafiki siku moja tumetulia maeneo Mara wazee wakatimba,tukaokotwa wote haibu mzee mpaka home, kumbe wenzetu wawiliwanajihusha na ujambazi Nami nikawa na Jina ilo kwa muda mrefu, nilisota kuizima iyo kesi, nilikoma
Matukio mengine ni kupigana mizinga kwamba atairudsha Anza kui dai Sasa uone rangi ya Rafik
Wengine unaheshimiana nao sana namuona kama ndugu ukisafiri tu basi ni kumtongoza, shemeji yao
Aya vipindi kama hivi vya mvua gari, inaharibika sana chini nikimaanisha zinagonga sana so sevis ni Mara kwa Mara mtu anafuruliza kuomba round akirudisha ni kesho asubui gari zinagonga balaa na pacha juu ndani ya gari Unakutana na mabak ya kike usiombe watoto ndo wameingia kuiangalia video ndani ya gari wa nakutana na chupi imefinyangwa pembeni ya siti,, sipendi hata kuendelea Kuya Ongea kwani ninayo andika ya ekwisha nitokea
Naapa nipo chumba tu mpaka nimeyazoe haaya maisha ya upweke
Ila pia kuna shida upande mwingine wa haya maisha nitaeleza siku nyingine
Lakini toka nijitenge nimepata maendeleo makubwa tofauti na kipindi kile pia kuna Amani ndani ya nyumba yangu
 

Hivi huwa najiuliza mtu anaanzaje kuchukUa pesa ya mtu au kitu cha mtu alaf asirudishe alaf awe comfortable kabisa wakati mimi kuchukua tu kitu cha mtu na kukaa nacho tu nahisi kuumwa yan nafsi inasumbuka sana na kuhangaika kama nikikopa alaf nikadaiwa na mtu
 
We acha tu ndgu yangu wengine mishipa ya aibu ishakatika
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 

[emoji23][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…