Ni kawaida; ndugu wa mgonjwa siku zote hakubali kuwa mauti ni haki ya mwanadamu. Kila kifo ndugu wa mgonjwa huwa hawakosi pa kusukumia lawama zao. Utasikia mara overdose, mara hakupewa huduma haraka, mara hivi mara vile ili mradi tu hakosi sababu ya kusingizia. Kifo ni kifo tu, usipokufa leo utakufa kesho!Nakumbuka vannesa mdee alihojiwa akasema Baba yake alikufa sababu ya uzembe wa madaktari kumpiga sindano za ganzi bila vipimo wakati akifanyiwa operation ndogo tena hapohapo KCMC. Same shida imemtokea Baba yako
Wangekuwa Ulaya au Marekani lawsuit ya medical malpractice hapo ni mamilioni ya dola. Lakini hapa kwetu daktari anakuulia ndugu yako hivi hivi na huna la kufanya. Huyo anesthesiologist ana kesi ya kujibu!Nakumbuka vannesa mdee alihojiwa akasema Baba yake alikufa sababu ya uzembe wa madaktari kumpiga sindano za ganzi bila vipimo wakati akifanyiwa operation ndogo tena hapohapo KCMC. Same shida imemtokea Baba yako
Ni kawaida; ndugu wa mgonjwa siku zote hakubali kuwa mauti ni haki ya mwanadamu. Kila kifo ndugu wa mgonjwa huwa hawakosi pa kusukumia lawama zao. Utasikia mara overdose, mara hakupewa huduma haraka, mara hivi mara vile ili mradi tu hakosi sababu ya kusingizia. Kifo ni kifo tu, usipokufa leo utakufa kesho!