ashomile
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 2,739
- 2,697
Historia kwa ufupi.
Mzee wangu alioa mke wa kwanza na alikuwa amejenga nyumba kubwa na ndogo na akabahatika kuzaa nae watoto wanne wote wakiume (04).
Baada ya hapo waliaachana na mama yangu mzazi kwa sababu mama yangu aliugua sana akamtibisha bila kupata auhueni.
Ilipofika mwaka 2002 alioa mke wapili wakaishi nae hapa kijijini kwetu kwa muda mfupi na baada ya hapo walihamia mjini na huko mjini waliondoka tayari mtoto wakwanza akiwa ashazaliwa tayari , walipoenda mjini walinunua kiwanja na kubahatika kuzaa nae watoto sita (6)wote kwa ujumla upande wa mama mdogo, wakike wanne (04) na wakiume wawili (02).
Huko mjini walinunua kiwanja na wakajenga nyumba ya kuishi , pia wkt wa uhai wao walijenga msingi wa nyumba kubwana ipo mjini katikati .
Ilipofika tarehe 13.07.2021 nilipata taarifa baba yangu katangulia mbele za haki kwa ajali ya moto na mama mdogo pia yuko khali mbaya sana naye ilipofika tarehe 17.07.2021 akafariki pia.
Kibaya zaidi mzee wangu hakuacha usia wa aina yoyote.
Pia wakati tumeweka majadiliano ya kuwalea watoto wadogo waliobakia tulisema shina la watoto wote wa marehemu ni hapa kijijini.
Je wale watoto wa Ma. Mdogo wana uwezo wakusema kiwanja cha kule mjini kiuzwe kwa ajili ya kuwasaidia? Na Je wakiuza wanaruhusiwa kuja kwenye nyumba aliyojenga baba yetu kijijini enzi yupo na mke wa kwanza ?
Pia naombeni ushauri wenu wakisheria zaidi.
Mzee wangu alioa mke wa kwanza na alikuwa amejenga nyumba kubwa na ndogo na akabahatika kuzaa nae watoto wanne wote wakiume (04).
Baada ya hapo waliaachana na mama yangu mzazi kwa sababu mama yangu aliugua sana akamtibisha bila kupata auhueni.
Ilipofika mwaka 2002 alioa mke wapili wakaishi nae hapa kijijini kwetu kwa muda mfupi na baada ya hapo walihamia mjini na huko mjini waliondoka tayari mtoto wakwanza akiwa ashazaliwa tayari , walipoenda mjini walinunua kiwanja na kubahatika kuzaa nae watoto sita (6)wote kwa ujumla upande wa mama mdogo, wakike wanne (04) na wakiume wawili (02).
Huko mjini walinunua kiwanja na wakajenga nyumba ya kuishi , pia wkt wa uhai wao walijenga msingi wa nyumba kubwana ipo mjini katikati .
Ilipofika tarehe 13.07.2021 nilipata taarifa baba yangu katangulia mbele za haki kwa ajali ya moto na mama mdogo pia yuko khali mbaya sana naye ilipofika tarehe 17.07.2021 akafariki pia.
Kibaya zaidi mzee wangu hakuacha usia wa aina yoyote.
Pia wakati tumeweka majadiliano ya kuwalea watoto wadogo waliobakia tulisema shina la watoto wote wa marehemu ni hapa kijijini.
Je wale watoto wa Ma. Mdogo wana uwezo wakusema kiwanja cha kule mjini kiuzwe kwa ajili ya kuwasaidia? Na Je wakiuza wanaruhusiwa kuja kwenye nyumba aliyojenga baba yetu kijijini enzi yupo na mke wa kwanza ?
Pia naombeni ushauri wenu wakisheria zaidi.