Wewe unataka waue kwa sababu ya nini labda ili wasihesabike kama hayawani.?Bindamu kuua mtu kwa sababu ya mapenzi ni zaidi ya uhayawani. Ni ujinga wa kiwango cha juu kabisa.
Yes mkuu hii nzuri sana aseeUlichokisema ni kweli kabisa,wasichana wengi wana date na wanaume waliowazidi umri
But asiwe mkubwa sana kwako,mfano wewe una 20 unaolewa na Babu wa miaka 70! Hapo hapana! Wewe una 20 basi mme wako awe na 30 au wewe 25 Mme wako awe na 30 sio mbaya sana!
True. Watu Wana roho ngumu Yani unaenda kulala na mke WA MTU nyumbani Kwa mumewe! Yaani jamaa walimuona Fala kweli.ana manslaughter......ameua bila kukusudia atachomoka baada ya muda kidogo
Kidogo Sana. Angesikia akamtafuta na kumkata mapanga ingekuwa kesi tofauti, SASA kamkuta mgoni juu ya mkewe panga mkononi ulitaka achukue photoshoot? Wataalamu wanasema hiyo sio murder ni manslaughter.Ana makosa.
Kwani wanawaoa kwa kuwashikia bundukiWazee waache kutembea na watoto wao, 48-22=26, baba na mwana
, Mke wa mtu ni sumu
Hahahahahaaaa dahhh!...No inawezekana anapeleka moto vizuri tu..
Ila tamaa za hao wazinzi ..
Binafsi niko kwenye age ya primary kijana but sipendi uhusiano na the same age coz huwa wana mambo ya kingese sana..
Mwanaume ambae kakuzidi kila kitu anakuwa anajua kuhandle mwanamke, na wana true love
Sasa the same age full wenge, kukudhalilisha, hajui kucare mwanamke zaidi ya kitombo cha kuunguza maku moto tu, eti hapo kamaliza
Mkewe ambaye alikuwa anamzuia asiendelee kumjeruhi marehemu naye alikatwa mkono uliodondoka chini.
Na huyo binti nae hakuona Kama huyo mwanaume kuwa ana umri mkubwa? Angeolewa na huyo maiko jakisoni badala ya kutaka wote.Tatizo la kuowa vibinti vidogo tofauti ya umri ilikuwa kubwa
Walimuona Zombi kweliTrue. Watu Wana roho ngumu Yani unaenda kulala na mke WA MTU nyumbani Kwa mumewe! Yaani jamaa walimuona Fala kweli.
Hata Mimi nakuua aisee,marehemu alifanya dharau kubwaTrue. Watu Wana roho ngumu Yani unaenda kulala na mke WA MTU nyumbani Kwa mumewe! Yaani jamaa walimuona Fala kweli.
Miaka 48 mwanaume unamuita mzee???Wazee waache kutembea na watoto wao, 48-22=26, baba na mwana
, Mke wa mtu ni sumu
Vitoto utaviweza!, wanatunyanyapaa wenye umri huoMiaka 48 mwanaume unamuita mzee???
We barobaro nn?
Michael Jackson afariki kwa mara ya pili
Nani sasa hataisibitishia mahakama kuwa aliweka mtego wakumkamata mgoni wakeKama ni kweli aliweka mtego, ana kesi iko hapo..... ukiweka mtego maana yake una dhamira, huyo mume alikuwa na "malicious aforethought". Hiyo ni murder.
kuua bila kukusudia hukumu yake huwa haizidi miaka 7,kuua kwa kukusudia hukumu yake huwa ni kufungwa maisha au kunyongwaMkuu kesi ipo! Atafungwa kwa kosa la kuua bila kukusudia ambayo adhabu yake ni kufungwa maisha! Na kama angeua kwa kukusudia hapo Kitanzi kingemhusu.
Ila bado ana uwezo wa kujitetea maana mke wa mtu saa kumi usiku haupo ndani na mume alimuacha ndani atakuwa ameenda wapi?Kama ni kweli aliweka mtego, ana kesi iko hapo..... ukiweka mtego maana yake una dhamira, huyo mume alikuwa na "malicious aforethought". Hiyo ni murder.
Dah huyu dgo kafa kizembe sana yani ..kamshwa zake saa kumi usiku kuwahi mbususu kumbe anakiwahi kifo. Kifo cha aibu na uzembe mkubwa sana. Hata Mimi muhusika nisingekubakishaDaaah nyege hizi
Ona sasa zimemuua baharia