Babu Seya/Papii Nguza kweli walibaka? Tukielekea kureview kesi yao oct 30

pitia mahakama ya kisutu usome mwenendo wa Kesi Yao ....walichowafanyia watoto ni cha kusikitisha. Habari za vijiweni zinaporudiwarudiwa zinakua ukweli hasa kwa wajinga an wavivu wa kufuatilia mambo Kama Watanzania.

na kwanini hizi the so called habar za vijiwen ziwe hot??nani alizusha??
Lisemwalooo...........
 
Hadi leo bado mnaumiza vichwa kuhusu hii kesi?... Aliyewafunga yupo pale magogoni... "Mzee wa visasi"....
 
Hii kesi hii itamjambia babaake na nanihii...! Nguza alikamua demu wa mtu jamaa akashangaa yeye akiwa anakamua mwanamama anaimba "seya wa mivalo" jamaa akaona isiwe taabu.. kwa hasira hata panya hakubaki...

daaa hii kali aisee.....
 
hii ni njia ya kuwaachia huru,baada ya watuhuniwa kutumikia hukumu kipindi kirefu.
 
ipo nyingine kutoka CONGO inaitwa Mbago Kasuku,hiyo ni noma,ninayo naiuza buku 15000.
 
Hao watu wawili wote wananunulika kwahiyo sio ishu sana mkuu.

Sikatai...thibitisha kwamba watoto waliobakwa na daktari aliyewachunguza walinunuliwa uwasaidie mabazazi wale watoke waje kubaka binti yako sasa!
 
ipo nyingine kutoka CONGO inaitwa Mbago Kasuku,hiyo ni noma,ninayo naiuza buku 15000.

Kuna moja unapaka kwenye kichwa unazamisha ndani, hii kazi yake ni kuhakikisha hiyo nyapu hagusi mwingine, na hata ukiita usiku wa manane inakuja hata kama ni geti kali.

Ila hii ujiandae kung'ang'aniwa. Nahisi Dogo Domo ndo aliitumia kwa Wema, inapatikana sehemu moja inaitwa Basanza - Uvinza (Kigoma), hii ni noma.
 
Wakuu je hii inaweza kusaidia - yaani wale watoto wajawe na roho ya "u-mama", kama kweli hawakubwakwa basi waende wakaimbie mahakamani ukweli.

Maana kwa sasa watakuwa ni washichana wa miaka 15 -17 hivi.
 
watu wanapopata mashaka kama kweli ilithibitika kuwa wote wa4 walilawiti watoto kwann waliachiwa wawili wakabaki wawili gerezani?hiyo inaleta picha kuwa waliokuwa wanatikiwa ni nguza na papii kocha na sio wale ndugu zao wengine...wake up guyz
Kosa la Nguza ni kufaidi mali za wenzake bila idhini - Kosa jingine ni kuanza majigambo kwamba mama Seya ni balaa kwa viuno - Papi kosa lake ni kushirikiana na babake kuimba wimbo wa majigambo.
 
Hawa jamaa hawakubaka subiri jk aondoke madarakani tuitishe mafaili upya labda awaue kwa sumu huko jela vinginevyo ukweli utawekwa hadharani na kila mwenye sikio atasikia.


Hivi walihukumiwa wakati wa utawala wa nani? Kama wamewekwa ndani kisheria hakuna rais atakaepindisha sheria hasa kwenye tukio kama hili.
 
ipo nyingine kutoka CONGO inaitwa Mbago Kasuku,hiyo ni noma,ninayo naiuza buku 15000.
hakuna cha kutoka kongo wala kishasa, we piga supu ya Pweza uone kama mama nanihii hatakimbilia sebureni, au chumba cha watoto - ngoma ni balaa mwanzo mwisho - mpera mpera hadi kunakucha.
 
mi pia nahitaji hiyo dawa nataka nikatoe shooo embu niapatie hiyo dawa ya kongo mweeh.ya Ngoswe mwachie ngoswe na ya babu seya mwachie babu seya mwenyewe kwanza akitoka sijui kama operesheni kimbunga itamwacha? mweh.
 
Mwenendo mzima wa kesi unapatikana wapi kuanzia madaktari , mashaidi na wanaosemekana ni wahanga ili tuweze kuchangia hoja vizuri.
Mzigo ulikuwa kwa waendesha mashtaka kudhibitisha pasipo shaka kwamba walihusika.

Now unaongea kisomi nipe email address yako nikutupie mzigo...
 
Kazi ipo ,jamani lakini hawa walifingwwa mwaka gani kwani rais alikuwa nani ,just asking
 

Watu mna xperience na hizi dawa za kienyeji!
 
Open and read this manual you will get the all proceeding of the case and final judgment
http://www.tawjatz.org/wp-content/uploads/2013/02/Case-Law-Manual.pdf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…