Babu Seya: Ufafanuzi juu ya uvumi unaoendelea kwenye mitandao ya kijamii

Joined
Jul 19, 2013
Posts
38
Reaction score
21
habari nilizozipata ivi punde zinasema babu seya kaachiliwa huru
naomba usibitisho jamani

==========

TAHADHARI:
UVUMI SI WA KWELI

Picha inayosambazwa kwenye mitandao ni ya Oktoba 2013 wakati wakitoka Mahakamani pia tetesi hizi si za kweli.

Kilichosambazwa na blogs nyingi ni mipango yao wakifika uraiani kama watatoka kwa msamaha wa Raisi ikiwa na kichwa cha habari kisichoakisi maelezo ya ndani kuvutia wasomaji






 
JK ndio kaanza kuaga kwa style hiyo kama hii habari ni ya kweli.
 
Huenda anataka kujisafisha katika jamii,lakini kasafiri mpaka anajishtukia hivi sasa,huenda hajui hali ilivyo tight huku kitaa,amesafiri mpka Singapole,ni nini tumepata kutokana na safari zake za kiuj.........
 
Nikirudi saa 10 jioni nikakuta uzi huu upo nitajua ni kweli!
 
Acha upumbavu wewe story za global waachie kina shigongo na wadaku wake usilete humu.. :angry::angry::angry::angry::angry:
 
Watoto wa bavicha mkikosa kazi......ni fiesta sana!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…