Godfrey Kimi
Senior Member
- Sep 2, 2014
- 165
- 31
Mungu mkubwa na hashindwi na lake na huamua kwa muda anaotaka yeye.
Muhimu kwetu Binaadamu ni Subira na Ustahamilivu
Mungu Asifiwe
Hatimae watoka
Ila mi namkubali sana huyu warumi!anajua jinsi ya kuwaondoa watu stress!kuna kipindi aliadimika tulikonda!
jk unaweza kumuibia hela akakusamehe lakini sio mwanamke,seya hatoki.
Kuna tetesi nimezipata hivi punde eti Papii kocha na babaye wameachiwa huru,mwenye kujua ukweli atujuze...