Kuna mtu aliripoti kuwa mwanasheria alikuwepo, aliwezaje kuruhusu hayo yote kutokea? Na ni nini wajibu wake kama mwanasberia ambapo hayo yote yametokea mbele yake na asijue mteja wake kapelekwa wapi, kachukuliwa na nani na kwa nini?au na yeye Bashite?Kama haina ryder na murder wazembe saana. Ninja.
Nishakupotezea zamani.ndio maana nikakwambia hujaelewa comment yangu unakurupuka tu!! anyway kwa heshima ya roma sitaki kuharibu maudhui ya huu uzi kwa sababu yako so nipotezee
Huyo mkuu wa mkoa gani unayemuongelea?mkuu wa mkoa tusaidie katika msanii wetu arudi mapema na salama
Aisee.. Hii nchi hiiLabda waliotekwa waliizima ili Watekaji wasionekane!
Hatari hiyo kaka!Dah Bashite ana Figure?...! Mashaalah.
Unapajua tongwe? Ushawahi kufika? Au ndio kukariri kuwa studio kubwa.....Aiseee!! Pia studio kubwa kama hyo af hain security
Wala cctv walikua wamezembea sana
Wanasema ulinz upo ila
Wakat wanavamila hakukua na ulinz maswli mengj yako hapa? Hyo saaa security ilikua wap?
Ok sawa mkuu.Ndio Nimeuliza maana wamesema Wasanii wakutane Tongwe Records Oysterbay.
Bashite akae mbali na hii issue....yeye alete vyeti...hatutoi kiki.....bringbackroma2030alive.Kwenye hii ishu ya Roma babu tale kumtaja Bashite... Kuna filamu inapikwa hapa wanajf tegeni sikio mtakuja kuniambia.... Bashite atakamata headline tena kama hero
Tatizo akili yako haifikirii kitu kingine zaidi ya ukada! Hata kwenye mambo ya msingi wewe unaweka ukada mbele.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Igizo lime fail. Hatutaki Biashara ya
Kuuza Tishert Kama kwa Ben saanane
Niliwahi kuskia kuwa etiiiiii......analiwa ndogo...etiiìiìiiiiii.Sasa mtu unajijua kabisa kuwa una makalio makubwa, kwanini unavaa nguo za kubana?
Kama ni FASHION, wacha ikupite tu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mtu anatangaza biashara yake ninyi mshaanza mdomo tulienSasa mtu unajijua kabisa kuwa una makalio makubwa, kwanini unavaa nguo za kubana?
Kama ni FASHION, wacha ikupite tu!
Hata wewe ungekuwa sisi ungekosa cha kuandika.....Mbona mnakosa cha kuandika