Kabisa. Maana mwanamke ndo anaemjua vizuri mmewe. Aliona mwanaume hawezi kulea watoto. Amekalia ushirikina tu. Picha za social media zinacover mengi.Hili pia nililishangaa kuwa mke anaombaje msaada wa kulelewa watoto, ni either mume hana hela or mume halikua hana mapenzi ya dhati na familia yake
Mbunge wa vijijini kwa sasa anaitwa nani ?Ila kwa vichwa wa watu Morogoro vijijini Tale angepitishwa angeshinda bila hata hizo mambo ya giza
Kumbe madawa yalikuwa Yana save wengi si ajabu diamond Yuko hoi kiuchumi, show off za ig tu, alijisemea zake ukweli Vanessa kuhusu huu mzikiTatizo kwa Diamond mgawo ni wengi. Na madawa ya kulevya biashara Magufuli kabana. Sasa kisa ni popular kishajiona anafaa kuwa mbunge. Any way ni haki yake kikatiba.
Nyumba /kuta zinatustili sana maovu yetuNdoa ndoano..wahenga hawakukosea
Mimi si mnafiki hayo yalikuwa maoni yangu Kama wewe unavotoa ya kwako na yaheshimu na Wala sio unafiki sawa.Acheni unafiki... babu tale anachofanya ni sahihi.. hana tofauti na mtu mwingine anaetafuta kazi maana hata kipindi cha msiba.. kuna watu wanaenda kwenye interview za kazi..
Babu tale kamuuguza mkewe, amemzika vizuri, ila watu hamridhiki.. baada ya msiba baba si anaenda kazini.. kipindi cha matanga kikifika anashiriki kama kawaida.. babu tale ni mtu makini sana...japo hajasoma sana ila amelea familia yake vizuri tena kwa ustaarabu.. watu wengi wenye kazi kama zake za kusimamia wasaniii ndoa zimewashinda... ila babu tale na uislam wake ameoa mke mmoja na wameishi vizuri bila skendo mpaka kifo kimewatengenisha...
Ameshamzika mke wake.. mwacheni akatafute kazi kwa ajili ya watoto wake awalee vizuri
Maana mnamponda humu huku hamumsaidii kutunza familia... akikaa nyumbani mtamlisha nyinyi na kumlipia ada..
Ubunge una maandalizi yake.. huupati kwa zima moto... watia nia wote kipindi hiki wapo majimboni wanapiga figisu figisu... why mnataka babu tale achelewe akute wenzake wameshamtangulia na kumwacha mbali kwenye figisu... kuwahi muhimu
Ni shida Sana hii dunia wallah, imagine baby wako uliyemzalia four kid's kabisaYaan mpaka nimeogopa[emoji26]
Enzi za JK hawa walikuwa wakisafiri wanabeba na ganda.Mpaka leo Sallam kapigwa stop kuingia USA.Kumbe madawa yalikuwa Yana save wengi si ajabu diamond Yuko hoi kiuchumi, show off za ig tu, alijisemea zake ukweli Vanessa kuhusu huu mziki
Simfahamu wa huko kwa kweliMbunge wa vijijini kwa sasa anaitwa nani ?
Huko Morogoro vijijini kwa uelewa wa watu kule ukipitishwa na ccm unaishinda huhitaji hata kafara ya kuku. Wananchi kule wako dunia nyingine kabisa
Sasa Kama Ganda zimezuiliwa Hali ngumu ya kifezwa wataanza kutoana Sana kafara kumbe ni mirija tu imezibwa.Enzi za JK hawa walikuwa wakisafiri wanabeba na ganda.Mpaka leo Sallam kapigwa stop kuingia USA.
Enzi za JK hawa walikuwa wakisafiri wanabeba na ganda.Mpaka leo Sallam kapigwa stop kuingia USA.
We ni mganga/ kalumanzila mkuu?
DuuhhKishatoa kafara anaendelea na kutafuta ubunge. View attachment 1496240
Hakunaga kuanguka kwaajili hiyo.ukiona mtu kaanguka basi hakupiga hesabu zake vyema katika mipango YakeUnaoneka una kitu unakijua kuhusu marehem na mmewe.
Kama ni kweli basi huyu jamaa atakuja kuanguka tu.
Hakika mkuuKile si kilio cha huzuni, hata mtoto mdogo angecheki angejua tuu
Exactly kabisaHakuwa mnafiki,kaonyesha jamii kuwa mwisho wa huzuni yake ni hizo siku chache,na hapa ndio unaweza kuunganisha dots za mahusiano yake na mkewe wakati wa uhai wake yalikuwaje...
Duu,,aisee!!Tatizo kwa Diamond mgawo ni wengi. Na madawa ya kulevya biashara Magufuli kabana. Sasa kisa ni popular kishajiona anafaa kuwa mbunge. Any way ni haki yake kikatiba.