Babu Tale kuweka kambi Morogoro Vijijini kwa ajili ya ubunge! Familia yagawanyika


Mkuu,

Mula umenena maneno kuntu sana

Hilo lijamaa halina soni kabisa na yawezekana

maneno yanayosemwa hapa na wadau yakawa ya kweli.

Hivi kweli cheo kina thamani kushinda utu?

Ama kweli wonders shall never cease.
 
Unaona jamaa wala hata hajatulia kusubiri arobaini ya mkewe. Ubunge ndo priority yake. No wonder mkewe alimuomba Makonda amlelee wanae.
nilishangaa sana how come marehemu anawaomba watu wengine wamsaidie kulea wanae while baba wa watoto yupo hai.
 
Nimewashangaa sana watanzania wenzangu.
Wana mawazo ya kimaskini maskini.Yani mipango ulopanga miaka 5 ilopita isimame kisa Mke aliyefariki?
Huu unafiki tu.Tena akiwa morogoro ndiyo vizuri awe karibu na kaburi la mkewe ajengee vizuri.Na ikiwezekana akimaliza maombolezo aoe haraka sana asiwe mpweke.
 
Halafu kwani watu before ubunge walikuwa wanaishije?
Maana majority ni raia wa kawaida kwani hatuishi, pesa zipo na zinataftwa tu lakini when ur loved one is gone atleast Kuna kipindi, flani hivi.
Is gone.
 
Kwa hili kama ilikuwa ni kweli basi jamaa alikuwa na shida kubwa na mkewe ingawa hikuwa rahisi sana kuigundua.
Aisee ogopa sana watu wenye tabasamu kama lote......kuna tabasamu flani hivi lilikuwepo kati yao halafu bidada alikuwa na kicheko flani mtu anayedeal na mambo ya councelling ni rahisi kudetect tatizo, alikuwa anacheka kama anamuendelezo wa kitu flani then anaongea anapiga stop na tabasam HATARI SANA.
 
Hata jinsi upande wa juu wa jeneza ulivyoelekea usawa wa dirisha lilikowa na pazia lenye Nembo.....Dah Maisha Bana.
 
Kile si kilio cha huzuni, hata mtoto mdogo angecheki angejua tuu
Hasa alipokuja Mh. flani ambaye ameachiwa jukumu la watoto na ambapo Mke alienda kule kuacha wosia basi kilio kikapandishwa weeeeeee.....lakini ukiendelea kuangalia picha na matukio unaona kabisa ni mapichapicha..................mbaya zaidi haya mambo hayajifichi SIJUI NI KWANINI
 
Hivi wee n mwanamke kweli? Lol
 
Aisee
 
Jinsia yangu inahusiana nini na mada?
Kwanza inakuhusu nini?Au mnachangia kulingana na jinsia ndugu mwana jamvi?
Nooope sijauliza kwa ubaya, ila wee kweli mwandani wako amekuacha sku 3 tu tangu mumpumzishe ktk nyumba yake ya milele, ndio uanze harakati za siasa, tena islamic hata 7 haijafika mmmmh, hapana kwa kweli
 
Mkuu,

Mula umenena maneno kuntu sana

Hilo lijamaa halina soni kabisa na yawezekana

maneno yanayosemwa hapa na wadau yakawa ya kweli.

Hivi kweli cheo kina thamani kushinda utu?

Ama kweli wonders shall never cease.
Aiseee hana son mke man dah.
 
Ni hatari hata matanga bado hayajesha yeye ashaanza kampeni? Watu wakiconfirm hizo tuhuma za NGENDE atabisha?
 
Nooope sijauliza kwa ubaya, ila wee kweli mwandani wako amekuacha sku 3 tu tangu mumpumzishe ktk nyumba yake ya milele, ndio uanze harakati za siasa, tena islamic hata 7 haijafika mmmmh, hapana kwa kweli
Kwa hiyo mwenzangu maneno yote unayosoma mtandaoni unayabeba kama yalivyo?
Na inamaana hamjui Tale moro kwao,lazima tu angerudi sababu ya mambo ya msiba hata kama sio ubunge?
Na ni vema kama ameamua amalize maombolezo yake aunge na mambo mengine.
Its all good.Huu ni mtazamo wangu na maoni yangu.Hatupaswi kufanana.Duniani tunatofautiana sana kimtazamo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…