Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Waliliwa hawa hahahaha waseme tu
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Polepole wanaanza kufunguka.
 
Subiri, it's just a matter time. Issues za Bill Cosby na R Kelly zilikuja unexpectedly sasa behind the curtain kuna rumors nyingi nyingne zinamuhusu Jay Z, tuendelee kula/kunywa mtori nyama ziko chini.
Acha tusubiri boss
Yaani Blacks kashfa zinaanza wakitajirika tu
Hivi wa kwetu hawana matukio au wanalindwa
 
Waliingia bwana, tena walimkuta amevaa taulo tu. Akauliza Diamond ni nani, wakajaribu kumtambulisha lakini hakumfahamu, Diamond akajaribu kuimba lakini jamaa aka diss mpaka baadaye ikabidi wamstie Diamond amuonyeshe video za shoo zake. Pdiddy akamuuliza kama anataka kutoka kweli, alipokubali Pdiddy akamfukuza yule dada aliyekuwa akimfanyia massage😅
Tena nakumbuka hii video ya maneno haya Tale mwenyewe lakini kwenye mkonga leo amekana dah. Hahaha njia ya muongo ni fupi...wahenga walinena
 
Ina maana pdiddy anachowafanyia ni kama kafara ya kishirikina? Au akiwalawiti anawapa pesa?

Halafu anawashawishi vipi hadi kuwalawiti? Anawapa madawa?

Haya mambo yanafikirisha...
 
Ina maana pdiddy anachowafanyia ni kama kafara ya kishirikina? Au akiwalawiti anawapa pesa?

Halafu anawashawishi vipi hadi kuwalawiti? Anawapa madawa?

Haya mambo yanafikirisha...
Majibu yote utayapata akifanikiwa kupata dhamana, omba connection kwa Taletale au msanii wake, ukamuulize maswali yote na usisahau kutupa mrejesho kama ndgu yetu meneja na mbunge Taletale
 
Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.

Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.

Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa

Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.

View attachment 3106362
Mbona maelezo tofauti na aliyotoa dayamondi
 
Back
Top Bottom