Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata mm nawashangaaIvi Awajui kama izi stor zinawzalilisha?🤔
Ndugu mripoti ripoti yako imekamilika na imejieleza......kwa kifupi hili wimbi ni zito na kwa ukubwa na uzito wake kwa kila aliyepitiwa kusalimika ni ngumu SanaHali ya hewa imechafuka sana.
Mawimbi yanazoa watu wengi maarufu kila kona ya dunia kwenye biashara ya Muziki na Burudani...
Kuna mambo hawajazungumza bana et runinga mnatupanga kama watoto wadogo fungukeniAkihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake...
Chupu chupu?Chupuchupu..
Ienda chumbanAkihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake...
Mtu km uyo ana low critical thinking ndo anaenda pitisha sheriaa aya makinikiaMbunge wa Bunge la Tanzania anaongea hivi 😂😂
Kama nchi tunafeli sana
😅😅😅🤣Mdogo mdogo, watasema yoteee.
Diddy akuache hivii hivi, wee ulisikia wapiii.
Mbona huu ufafanuzi hauna yale maelezo ya Diamond kuhusu mambo waliofanya ambayo hayawezi kuelezwa mbele ya vyombo vya habari?Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake...
KwambaMdogo mdogo, watasema yoteee.
Diddy akuache hivii hivi, wee ulisikia wapiii.
Daaah burna uhakika.Angeliwa asingestruggle kulikamata soko la marekani, so imani yangu inaniambia hakuliwa huyo dogo ila yule mnigeria nnamashaka nae 😆😆