Hapa tunahitaji ushahidi wa kutosha beyond a reasonable/ shadow of doubt!!Mbunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano la Tanzania Mhe Tale amesema walikwenda nyumbani kwa Diddy na waliitwa chumbani kwake kwenda kuangalia filamu lakini mtayarishaji wa muziki kutoka Marekani (aliyekuwa mwenyeji wao), Swizz Beatz alikataa wasiende.
Kufuatia tuhuma zinazomkabili mkali wa Hip hop kutoka Marekani Diddy, Sean ‘Diddy’ Comb huku baadhi ya mastaa mbalimbali kuhusishwa kwenye kesi zake, meneja wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond, Babu Tale amefunguka yaliyotokea baada ya kutembelea nyumbani kwa staa huyo.
Naomba ushahidi kama wewe unayo marinda mkuuHapa tunahitaji ushahidi wa kutosha beyond a reasonable/ shadow of doubt!!
Hapa tunahitaji ushahidi wa kutosha beyond a reasonable/ shadow of doubt!!
Lukamba anasema sijui alitaka ampake nan hilo wese kati ya babu tale, mondi, na yeye🤗🤗🤣🤣🤣Mbunge wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano la Tanzania Mhe Tale amesema walikwenda nyumbani kwa Diddy na waliitwa chumbani kwake kwenda kuangalia filamu lakini mtayarishaji wa muziki kutoka Marekani (aliyekuwa mwenyeji wao), Swizz Beatz alikataa wasiende.
Kufuatia tuhuma zinazomkabili mkali wa Hip hop kutoka Marekani Diddy, Sean ‘Diddy’ Comb huku baadhi ya mastaa mbalimbali kuhusishwa kwenye kesi zake, meneja wa msanii wa Bongo Fleva, Diamond, Babu Tale amefunguka yaliyotokea baada ya kutembelea nyumbani kwa staa huyo.
Akizungumza na Rick Media, Babu Tale amesema walikwenda nyumbani kwa Diddy na waliitwa chumbani kwake kwenda kuangalia filamu lakini mtayarishaji wa muziki kutoka Marekani (aliyekuwa mwenyeji wao), Swizz Beatz alikataa wasiende.
“Sisi tulienda kama tulivyotoa taarifa hapo awali na tulitoka salama, jana ndiyo nimejua kwamba Swizz Beatz alikuwa akitulinda kinoma, kwanza tulipofika tulikaa nje.
"Diddy akatangulia chumbani juu anaangalia movie wafanyakazi wake wawili wakaja kutuchukua kwenda kula, baada ya muda akawatuma twende chumbani kwa Diddy tukaangalie movie lakini Swizz akawa mkali na tukaondoka bila kuaga kwa hiyo sisi tukawa tunajua kuwa brother (Swizz Beatz) ametubania, kumbe alikuwa anatulinda,” amesema Babu Tale.
Babu Tale ametoa ufafanuzi huo baada ya minong’ono kusambaa kuhusu safari yao nyumbani kwa Diddy, baada ya kipande cha video kikimuonyesha Diamond akifanyiwa mahojiano akisema kuwa baadhi ya mambo yaliyofanyika nyumbani kwa staa huyo sio ya kuwekwa kwenye vyombo vya habari.
“Ni kweli tulienda kwa Diddy nafikiri ilikuwa siku moja kabla ya uhuru wa Marekani, tulienda kwa Diddy usiku tukakaa kuna vitu tukafanya sema yaliyofanyika yalikuwa siyo ya kuposti kwa sababu yana mambo yajayo mbele,” alisema Diamond kwenye moja ya mahojiano yake aliyowahi kufanya.
Kwa sasa Diddy amezuiliwa katika gereza la ‘The Metropolitan Detention Center (MDC) kwa tuhuma za ulaghai wa kingono na usafirishaji wa binadamu ili kujihusisha na biashara hiyo ya ngono, huku zaidi ya chupa 1,000 za mafuta na vilainishi vikikutwa katika nyumba yake ya Miami na New York.
Mwananchi
Endoscope test result imeonesha yapo! Je, wewe yapo?Naomba ushahidi kama wewe unayo marinda mkuu
Naomba nithibitishie hapa kama yapo mkuu maana siamini kama unayoEndoscope test result imeonesha yapo! Je, wewe yapo?
Wakafanya ya sirini.
Maelezo ya Tale yamekuwa tofauti na maelezo aliyotoa Nassib hapo awali, japo wote wanazungumzia safari ileile ya kwenda nyumbani kwa Diddy.Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.
Kwa kuwakataza na kuwaonya bila kusikiliza hisia zao, Swizz hakuwatendea haki wawili hao. Vipi kama labda wao walihitaji zaidi kuangalia TV kwa Diddy kuliko kuhudhuria party ya Swizz?Akihojiwa na Rick Media, Mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki ambaye pia ni Meneja wa msanii nguli Diamond Platnumz, Mh. Hamis Taletale au kwa jina maarufu Babu Tale amekiri walipoenda kumtembelea msanii P.Diddy, alionesha viashiria ambavyo wao hawakujua maana yake.
Mojawapo ya tukio la ajabu ni pale Diddy alipowakaribisha juu ghorofani wakaangalie runinga. Lakini mwenyeji wao waliyeenda naye, Produza Swizz Beatz aliwakataza kata kata. Na hata wakati wanaondoka hawakuagana na P Diddy.
Pia soma: Kitendo cha Diamond Platnums kwenda nyumbani kwa P. Diddy kimemlipa
Kesho yake Swizz alikuwa na party pia, walienda kushiriki na baada ya kumaliza Swizz aliwaonya tena wasije wakajaribu kwenda nyumbani kwa Diddy, Swizz aliwakabidhi kwa dereva awarudishe hotelini, huku akimpa maonyo makali dereva asije akajaribu kuwapeleka mahali popote.