Babu Tale: P Diddy alituita chumbani kwake tukaangalie runinga, Swizz Beatz akatukataza na tukaondoka bila kuaga

Hapa tunahitaji ushahidi wa kutosha beyond a reasonable/ shadow of doubt!!
 
Jamaa msosi walitafuna na msosi wakafagia ila chumbani wakatoka nduki,

Swali, Kama mwenyeji wao Swizz Beat alizijua tabia za Didy aliwapeleka kufanya Nini?

Je, ni kula tu msosi?

Je, ni wakati Gani waliitiwa huo msosi?
Hapa tunahitaji ushahidi wa kutosha beyond a reasonable/ shadow of doubt!!
 
Ila Diddy baradhuli sana😂😂😂.

Na kwa Tale kuachwa salama nakataa. Likiongea tu linarembua na kuweka madoido. Yani hata kama siku hiyo Diddy alikuwa hana hamu lazima alimtamani Mheshimiwa na kumpaka Baby Oil😂

 
Lukamba anasema sijui alitaka ampake nan hilo wese kati ya babu tale, mondi, na yeye🤗🤗🤣🤣🤣
 
Maelezo ya Tale yamekuwa tofauti na maelezo aliyotoa Nassib hapo awali, japo wote wanazungumzia safari ileile ya kwenda nyumbani kwa Diddy.

Awali, tuliambiwa Nassib kuwa, kuna mambo walifanya kwa Diddy ambayo hayawezi kuwekwa hadharani, lakini Tale anasema waliitwa kula chakula.

Na anaongeza, waliitwa chumbani na Diddy ila Swizz Beatz akawakataza, wakaondoka. So vitu walivyofanya na haviwezi kuwekwa hadharani ni kula chakula?

Maelezo ya Tale yanaonesha kuwa, wao walikula chakula tu kwa Diddy, kwamba hayo ndiyo mambo ambayo walifanya nyumbani kwa Diddy na hayawezi kupostiwa kama Nassib alivyosema?

Hawa bado hawajasema, kama wakiulizwa vizuri watasema tu.

Ova
 
Tunamshukuru Mh rais kwa jambo la mbunge wao kuwawakilisha Wana CCM katika nyanja za kimataifa hakika mama anaupiga mwingi.
 
Kwa kuwakataza na kuwaonya bila kusikiliza hisia zao, Swizz hakuwatendea haki wawili hao. Vipi kama labda wao walihitaji zaidi kuangalia TV kwa Diddy kuliko kuhudhuria party ya Swizz?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…