Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
hana Akili na ajue kuwa anaweza asirudi tena bungeni kwa sababu yupo bungeni kwa kura za wizi. mjinga sana huyuMbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki ambaye pia ni meneja wa msanii nguli hapa nchini Diamond Platnumuz, amewananga na kuwaita wanaharakati uchwara walioshindwa siasa za kuiondoa CCM madarakani na sasa wamehamia kushindana na mtu mmoja ambaye ni mwanamuziki Diamond Platnumz!
Babu Tale ameshangazwa na watu hao na kusema baada ya watu kama Tundu Lissu kushindwa kuichafua nchi hivi sasa wamehamia kumchafua mtu mmoja anayejipatia mkate wake kupitia muziki kwa kuiwakilisha nchi yake vizuri sana kimataifa.
Babu Tale amesema watu hao ni wanafiki na hawatafanikiwa kwani riziki anatoa mwenyezi Mungu pia hizo tuzo haziamuriwi na kura za hao wanaharakati wanafiki.
Huwezi kuhubiri Demokrasia huku ukiwananga wenzio wanaochagua wanachokipenda, Wasafi ipo CCM kabla ya hao wanafiki wa mitandaoni.
Mbunge takataka huyoMbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki ambaye pia ni meneja wa msanii nguli hapa nchini Diamond Platnumuz, amewananga na kuwaita wanaharakati uchwara walioshindwa siasa za kuiondoa CCM madarakani na sasa wamehamia kushindana na mtu mmoja ambaye ni mwanamuziki Diamond Platnumz!
Babu Tale ameshangazwa na watu hao na kusema baada ya watu kama Tundu Lissu kushindwa kuichafua nchi hivi sasa wamehamia kumchafua mtu mmoja anayejipatia mkate wake kupitia muziki kwa kuiwakilisha nchi yake vizuri sana kimataifa.
Babu Tale amesema watu hao ni wanafiki na hawatafanikiwa kwani riziki anatoa mwenyezi Mungu pia hizo tuzo haziamuriwi na kura za hao wanaharakati wanafiki.
Huwezi kuhubiri Demokrasia huku ukiwananga wenzio wanaochagua wanachokipenda, Wasafi ipo CCM kabla ya hao wanafiki wa mitandaoni.
Hutakaa umfikie hata robo tu ya maisha yake. Yeye ni mbunge wewe ili ule lazima ufue boxer za mbowe
Nyumbu hawawezi kuelewaNi watu wa matukio ndio sababu wanaitwa wanaharakati. Yanapopita yale yanayowafanya wafungue midomo na kuongea huwa wanapotea mpaka yakiibuka mengine siku za mbele.
Diamond ametumia nguvu, akili na ubunifu mpaka kufika alipofika leo hii. Ukimchukia na kumuwekea nongwa ili asifanikiwe unakuwa sawa na yule anayeupaka rangi upepo.
kwa tume huru?Hata mbowe hakurudi bungeni
Babu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa
Lema ni mpuuzi tu, ila Lissu siwezi kumlaumu labda zile risasi zimeathiri ubongo , badala wajenge chama chao kilichooza wanaangaika tuzo ya BETMbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki ambaye pia ni meneja wa msanii nguli hapa nchini Diamond Platnumuz, amewananga na kuwaita wanaharakati uchwara walioshindwa siasa za kuiondoa CCM madarakani na sasa wamehamia kushindana na mtu mmoja ambaye ni mwanamuziki Diamond Platnumz!
Babu Tale ameshangazwa na watu hao na kusema baada ya watu kama Tundu Lissu kushindwa kuichafua nchi hivi sasa wamehamia kumchafua mtu mmoja anayejipatia mkate wake kupitia muziki kwa kuiwakilisha nchi yake vizuri sana kimataifa.
Babu Tale amesema watu hao ni wanafiki na hawatafanikiwa kwani riziki anatoa mwenyezi Mungu pia hizo tuzo haziamuriwi na kura za hao wanaharakati wanafiki.
Huwezi kuhubiri Demokrasia huku ukiwananga wenzio wanaochagua wanachokipenda, Wasafi ipo CCM kabla ya hao wanafiki wa mitandaoni.
Roga na wewe ukawe mbunge, Tale harakati kitambo yuleSidhani kama amemaliza hata darasa la saba huyo ndio maana Busara Hana, hachagui cha kuongea kukosa uchawi hasingekua mbunge
Kwa akili hizi mbunge mmoja kweli mlistahiliKwaiyo kijana akisifia wanaotutesa sisi tunapaswa kumshabikia tuu eeh!! Acheni upuuzi wenu kaambieni hako kadogo kasisifie mambo yahovyo alafu sisi tumsapoti mamboyake ndomana kanaimbaga matusi tuu, stupid!!
Shida yeye na mwanamziki wake wote ni la saba C, jinga sn haoBabu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Ndiyo maana shemeji mpaka leo hayupoSidhani kama amemaliza hata darasa la saba huyo ndio maana Busara Hana, hachagui cha kuongea kukosa uchawi hasingekua mbunge
Diamond ni mmoja tu kati ya wengi wanaotakiwa kuwajibishwa kwa kuunga mkono wauaji,wezi,waoneaji na majambazi wa awamu ya 5. This marks the end of Diamond,mark my wordsMbunge wa jimbo la Morogoro kusini mashariki ambaye pia ni meneja wa msanii nguli hapa nchini Diamond Platnumuz, amewananga na kuwaita wanaharakati uchwara walioshindwa siasa za kuiondoa CCM madarakani na sasa wamehamia kushindana na mtu mmoja ambaye ni mwanamuziki Diamond Platnumz!
Babu Tale ameshangazwa na watu hao na kusema baada ya watu kama Tundu Lissu kushindwa kuichafua nchi hivi sasa wamehamia kumchafua mtu mmoja anayejipatia mkate wake kupitia muziki kwa kuiwakilisha nchi yake vizuri sana kimataifa.
Babu Tale amesema watu hao ni wanafiki na hawatafanikiwa kwani riziki anatoa mwenyezi Mungu pia hizo tuzo haziamuriwi na kura za hao wanaharakati wanafiki.
Huwezi kuhubiri Demokrasia huku ukiwananga wenzio wanaochagua wanachokipenda, Wasafi ipo CCM kabla ya hao wanafiki wa mitandaoni.