Babu Tale: Wanaharakati uchwara siasa zimewashinda sasa wanashindana na Diamond Platnumz

Kura zilizohesabiwa na tume gani? Mi ninachojua Kuna mmoja alitaka kumuua mwenzake,akafa yeye. Ameisha oza sasaiv. Kwisha habari yake!View attachment 1822763
k
Sasa kama ni hivyo kwanini mnamshambulia diamond tu peke yake wakati wasanii walikuwa wengi! konde boy je?
 
Ukiona mtu anamtumainia Babu Tale na kumuona ndio role Model wake basi huyo Mtu yuko state za Mwishoni kabla ya kuanza kuokota Makopo
Yaleyale ya nyani kumcheka mwenzake nyuma
 
Ila kusema ukweli wanaharakati ni njaa inawasumbua binafsi nadhani kama Taifa tujitajidi yupunguze huu umaskini watu wakiwa busy watapumzika kuganga njaa Kwa kuwaharibia wenzao
 
Huyu jamaa ubunge wake wa kupewa mwisho wake ni msimu huu tu
 
Once the most anticipated upcoming politician to ever touch the land of Tanzania, how the fvck did he end up to this? Total disgrace!
And to be honest, Diamond has proven more matured than lissu...he stayed quiet on this issue...
[emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…