soma upya nilichoandika. hasa mstari wa mwisho. Nimesema music is a universal language inamgusa kila mtu. ukijiegemeza upande mmoja upande mwingine lazima ukurushie mawe. na nimesema hata waliojiegemeza upande wa upinzani hasa chadema nao watarajie ipo siku watarushiwa mawe.
Lady Jaydee analijua hilo, ndiyo sababu tangu mwaka 2000 aliweka wazi kuwa mashabiki wake ni wa vyama vyote vya siasa, alikataa kujihusisha na chama chochote cha siasa iwe mikutano ya ndani au ya nje au kampeni. Jaydee hata akiwa nominated hakuna mtu atathubutu kurusha mawa kwa kigezo cha siasa kwamba yuko chama fulani.
Kwa kuwa Diamond ameshajitanabaisha kwa kutumia haki yake ya utanzania kuwa yeye ni mwana ccm kindakindaki, ni lazima wasio wana ccm wamrushie mawe. Ukipingana na hilo ujue wewe ni mwehu. Anachopaswa kufanya ni kuithibitishia BET kuwa hakubaliani na mawe anayorushiwa na atoe sababu za msingi na hasa ikiwa BET haipendi influence za siasa kwa wanamusic wanaokuwa nominated na wao. Huo ndiyo kweli, mengine yote ni porojo tu.
Aliyekosea zaidi ni Tale, ambaye tayari ni mbunge na ni meneja wa diamond kwa kuanza kupersonalize issue hiyo. angenyamaz akimya, yeye kama meneja wa Diamond, akasuka mikakati kulishughulikia jambo hilo kisayansi.