Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hata neno neutral lilivyotumika hujaelewa kwa sababu ya ujinga wakoYani akae neutral kukufurahisha wewe?
Jinga kabisa
that is your viewSiyo kweli
Busara za diamond?,busara zipi ndugu?Babu tale anakosea sana kuliingilia hili swala kisiasa. Atayaona matokeo yake. Bora angekaa kimya au angeiga busara za Diamond mwenyewe
Kinanani unaongelea nawewe kilaza!! Tatizo kunavitoto havina elimu vimelogaaa vikapata pesa na umaarufu sasa mnadharau wakubwa zenu wasomi!!Kwa akili hizi mbunge mmoja kweli mlistahili
Usomi bila pesa ni fujo tu, umeshaambiwa CV ya mwisho ni pesaKinanani unaongelea nawewe kilaza!! Tatizo kunavitoto havina elimu vimelogaaa vikapata pesa na umaarufu sasa mnadharau wakubwa zenu wasomi!!
Ni watu wa matukio ndio sababu wanaitwa wanaharakati. Yanapopita yale yanayowafanya wafungue midomo na kuongea huwa wanapotea mpaka yakiibuka mengine siku za mbele.
Diamond ametumia nguvu, akili na ubunifu mpaka kufika alipofika leo hii. Ukimchukia na kumuwekea nongwa ili asifanikiwe unakuwa sawa na yule anayeupaka rangi upepo.
Jiwe kashaozaWanafiki nyinyi lazima mjibiwe
Hata mi nashangaa aisee, aache kuwa ccm akufurahishe mkewe awe naturally awafurahishe wenye akili, nehiYani akae neutral kukufurahisha wewe?
Jinga kabisa
Mimi mbwa nitaoza ndio maana sikuimbiwa mifaivu ageniWewe hutaoza mbwa wewe
Pesa tunazo za wastani na halali!! Nyie logeni,ueni na muingie frimasoni kulazimisha utajir wakipepo!! Tamaa mbele...Usomi bila pesa ni fujo tu, umeshaambiwa CV ya mwisho ni pesa
Hayuko sahihi, ila kwa mtazamo wangu, na kwa sababu tayar suala lenyewe limeshakua kwa namna lilivyo, na kwakuzingatia maslahi ya kibiashara kwa Diamond, wangejaribu kuwa na kauli zinazojaribu kutoa damage control na sio kuendeleza vita ya kisiasa.Ila Lisu yuko sahihi?