Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />
<br />
Imekula kwa edwadi lowassa iyo!!! Nasikia ilikuwa dili ya kujipatia umarufu na thuma za ufisadi kusahaulika!!
Hata na mimi sasa hivi natoka kuongea kwa simu na ndugu yangu aliyekwenda huko ili kupata matibabu, amesema hivyi hivyo.Ndugu yangu amerudi leo kutoka kwa Babu kupata dawa, amenipa hali halisi kuwa Babu yupo kwa ajili moja tu kusaidia watu na hapati hata senti tano. Ni kuwa mpaka sasa ana wasaidizi sita ambao wote ni wachungaji wanaomsaidia kutoa dawa na kwa siku anahudumia magari yapatayo elfu moja. Na mchanganuo wake kwa kila Tsh 500 inayotolewa ni kuwa; Tsh 300 inakwenda kwenye huduma za kanisa yote kama ilivyo bila kupungua hata senti na Tsh 200 wanachukua hawa wasaidizi wake sita kwa kazi ngumu wanayoifanya. Hivyo yeye hapati hata mbuni. :-(
Mmmh isijekuwa ni ya kupunguza watu ila wakubwa waende kwa kujinafasi na baadae tutangaziwa hivi:-"Uchunguzi wa kimaabara umeonyesha kuwa dawa ya babu haina madhara kiafya. Aidha, utafiti wa kisayansi umeshindwa kuthibitisha kama kweli dawa hiyo ina uwezo wa kutibu magonjwa yanayosadikiwa kutibika kwa dawa hiyo. Hata hivyo, kwa kuwa suala lenyewe linahusu imani zaidi, Serikali haina kipingamizi".
Thread imekosea njia