Serikali imesitisha kwa muda utoaji wa tiba (miracle cure) unaofanywa na Babu wa Loliondo mpaka uchunguzi wa dawa unaofanywa na wataalamu wa serikali utakapothibitisha kuwa tiba yenyewe inafanya kazi kweli.
Pia serikali inataka kujiridhisha kuwa dawa ya Babu ni safi na salama kunywa ili isilete magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, typhoid, etc kwa wagonjwa.
Source: Clouds FM
Pia serikali inataka kujiridhisha kuwa dawa ya Babu ni safi na salama kunywa ili isilete magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, typhoid, etc kwa wagonjwa.
Source: Clouds FM