Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
kumbe source ni kibonde? Huyo si aunt, sorry, ant
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona unamtetea sana Lowassa,upo kwenye timu ya kumsafisha cyo?kama hujui kitu nyamaza sio kukurupuka na kuongea vitu usivojua sana sana unaonekana mjinga .
Nilihoji hii kitu asubuhi!!! Inakuwaje mtu anaachiwa kugawa dawa kwa wananchi ambayo wala haijachunguzwa ubora na madhara yake. Nikashauri wasimamishe na kuomba watalaam wa WHO waichunguze.
Kwa vile inasemekana inaponya, naona itakuwa ngoma kwelikweli kuwakatisha watu ambao wana imani nayo tayari!!
Ou avez vous cherche cette information, monsieur? (Si tu ne cherche pas quelquechose, c'est quelquechose qui te cherchera!!)
Serikali imesitisha kwa muda utoaji wa tiba (miracle cure) unaofanywa na Babu wa Loliondo mpaka uchunguzi wa dawa unaofanywa na wataalamu wa serikali utakapothibitisha kuwa tiba yenyewe inafanya kazi kweli.
Pia serikali inataka kujiridhisha kuwa dawa ya Babu ni safi na salama kunywa ili isilete magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, typhoid, etc kwa wagonjwa.
Source: Clouds FM
Serikali imesitisha kwa muda utoaji wa tiba (miracle cure) unaofanywa na Babu wa Loliondo mpaka uchunguzi wa dawa unaofanywa na wataalamu wa serikali utakapothibitisha kuwa tiba yenyewe inafanya kazi kweli.
Pia serikali inataka kujiridhisha kuwa dawa ya Babu ni safi na salama kunywa ili isilete magonjwa ya mlipuko kama kipindupindu, typhoid, etc kwa wagonjwa.
Source: Clouds FM
jamani mie nimeshatoka Mombasa nipo Mto wa Mbu itakuwaje tena? kuweni serious jamani