Kupima ufanisi wa kitu kuna njia nyngi: mfano, ufanisi wa mkandarasi unaweza kupimwa kwa kupima ubora wa jengo au barabara aliyojenga na si kukagua vyeti vyake au zana alizotumia. Nawashauri wapime wagonjwa kama wamepona au la.
Ndugu yangu kupima ufanisi na kupima kilichopelekea ufanisi ni vitu viwili tofauti
Kwa mifano uliyotoa, ile sementi, nondo n.k navyo vilipimwa kama vinaweza kufanya ujenzi huo ndiyo maana kuna TBS kwa hapa TZ
Mkandarasi anapimwa ufanisi kama amevitumia vipelekea ufanisi kisahihi ambavyo hupelekea uimara wa ujenzi huo
Wizara inachotaka kupima ni je hii dawa ni kitulizo tuu ama ni ya kutibu kwa kudumu? Je endapo inavilaza virusi, bacteria n.k kwa miezi au miaka kadhaa tu na kurudi na mashambulizi itakuaje?
We real need to think about it very very carefully
babu anasema dawa hii utapona kama utaitumia na kuamini kwa imani yako kwamba umepona.... sasa unataka kuichunguza chunguza tuu ... hii ni dalili ya kutoiamini dawa hii kwa imani ya kisayansi (which you stand on) ..... this kind of healing is of its own and of the very recent century ..... aliyeigundua kwa uwezo aliopata kwa namna yeyote ndiye anayeweza kutupa options za kutoa uhakika zaidi na siyo intruders (government)
SWALI: Je waliotumia wote na wakajiona wamepona wanaimani sawa zinazolingana ?????
Ah? Jibu ni rahisi sana. Hiyo ni influence toka nje, hasa kwenye HIV. Ukimwi ukimalizwa bongo haya mashirika yao yatakuwa hayana tena ishu, afu yataondoka, kitu ambacho serikali za magharibi hazitaki kusikia!
Mbona hayo maswali yako zaidi upande wa serikali kuliko Babu? kwani watalii wanapokuja kutembelea wanyama mbugani na Ngorongoro crater mbona hatulalamiki kuzihamishia Dar ambako kuna facilite zote? Kumbuka babu kapewa karama ya kutibu katoa utaratibu ambao mimi nauona wakimungu zaidi...uwe na imani, uwe mnyenyekevu (nipamoja na kukubali hadharani kwamba babu ndiye aliyekusaidia na ndoto yake) and na yeye ili aweze kuhold anointing utii ndo agizo pekee so yeye amsikilize nani? Ninyi walalamikaji ambao hamtaki ku facilitate utaratibu wa babu uendelee kufuatwa bila yeye kukosa utii au yeye awasikilize ninyi na hiyo anointing iondoke watu waendelee na shida zao kama mwanzo? Babu is not a panacea but a contributor to problem ruduction kwa magonjwa sugu kumtupia lawama ya watu wanaokufa is not fair wengine wanatakiwa wasaidie kuweka coordination office sehemu kama Arusha na wagonjwa waliozidiwa wapewe priority badala ya kujaza FFU kule basi watu wangeruhusiwa kwenda kumwona babu kama wanavyopanda Mt. Kilimanjaro..ili babu awe free na tuhuma zenu za rushwa kama mtapenda kuingiza rushwa kama ilivyo desturi yetu hapo nyumbani kwani amekataa hayo kufanyika?