Babu amekwambia anatibu kwa dawa ya mti aliooteshwa pamoja na maombi. Sasa unaweza kuyapima maombi kwa kisayansi!
Ni vizuri kuwa na mashaka lakini ni bora kuelewa kuwa katika mambo haya imani ndiyo inatakiwa kutangulizwa. Kwani imeandikwa "heri aaminiye bila kuona."
hii imekaa poa,kupimaaaa kupimaaaaaa, sisi tunataka dawa tupone full stop.
Babu is not looking for fame anafanya aliyoagizwa, wanamdistract tuu na sayansi hapa, waende hukoo...:hand:
kwani wamespend how many years na dawa ya UKIMWI/KANSA/SICKLE CELL hawajazipata leo babu wanataka kumpima, ebo!! huo ni ushankunaku:hand:
kwa nini tusiombe invisible atuwekee ngumi kwenye keyboard ili mtu akikuboa unampa kitu inauma.....nadhani tungeheshimiana
tupo zama gani tanzania
hivi watanzania tupo zama gani ? na hapa tupo na serikali au ndo siasa za kuogopana kama .....
Hukuelewa mkuu na madai mengine ni kwamba dawa zake hazijasajiliwa na maji atumiayo ni machafu
Mi naona aibu kwenda coz ni mtu mzito sana halafu kwenda natamani sasa nifanyeje?
Kwa ujinga ujinga tu watanzania wanauua hii kitu, si muda tutasikia huu mti umegundulika na mmarakani miaka ya 90
Huwa unasikiliza radio Imani? Kama siyo, huna haki ya kusema usemayo. Sijui hata kama post zingine huwa unasoma.Tafadhali siku nyingine usikurupuke kama leo.JUBU:Waislam wanajua sheria zinazowaongoza na wapo pia wengi tu hawajui.Radio imani tayari wamezungumza maranyingi tu.