#COVID19 Babu wa Loliondo: Nileteeni wachache wenye Corona waone!

#COVID19 Babu wa Loliondo: Nileteeni wachache wenye Corona waone!

😂😂😂😂😂

Na hawa ndo wateja wake...
 
Hahaa clouds wana uwezo wa kumpa mtu kiki na ikakaa.
Wasije kufanya kwa huyu mzee maana watu wengi watakufa.
 
hapa lockdown inaenda kusahaulika kifo cha mama Rwakatale tunaenda kupigishwa kwata la foleni kwa babu
 
Huu ndio muda wa kumkamta muongo au kumpata shujaa wa Tanzania na dunia kwa ujumla
 
Back
Top Bottom