Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,041
- 13,907
Kweli aisee😆😆😆Mjini shule..hafi njaa yule😅😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli aisee😆😆😆Mjini shule..hafi njaa yule😅😅
Je alirudi tena kusema kwamba alitupiga fiksi ?Askofu mmoja wa KKKT Arusha,alijulikana kama Laiza.Alionekana akithibitisha ,tena ilikuwa ITV taarifa ya habari maarufu Tanzania,saa 2 usiku,kuwa alikuwa na kisukari kwa miaka 15 ila ametumia kikombe cha babu akapona
Sent using Jamii Forums mobile app
hapana mkuu ankali nusu adanjeUlibwia dawa zake nini?
Uko sahihi, alisema ameonyeshwa janga kubwa sana na hilo janga ni kama dunia yote imetikiswa na kuungana kabisa.Mzeee kaanza.
Na wengi wataenda... Ila kabla ya corona kuna clip yake moja, alikua anasema kaoteshwa kuna janga .
Sasa sijui ndo hili.
Maisha ujanja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daktari hufuatwa lakiniAnasema mti ni ule ule,siku za kupona hazijulikani ila ni muda mfupi. Kuna watu anawanyima mkate ndo maana wanampiga vita. Mungu hajamruhusu kwenda nje ya Loliondo.
Huoni alicheza na akili za ambao mlikwepa umandeNamaanisha muda aliosema hapa bongo ilikua bado shwari
Ukiwemo....!
Kweli Mkuu hata Mimi nimekua nikitafakari clip iyo nafikili aliojiwa na ayo TVMzeee kaanza.
Na wengi wataenda... Ila kabla ya corona kuna clip yake moja, alikua anasema kaoteshwa kuna janga .
Sasa sijui ndo hili.
Maisha ujanja.
Sent using Jamii Forums mobile app