Bahati haiji mara mbili Kama akupiga pesa kipindi kile hatopiga tenaAsema watu waende wapate kikombe amesema hakuna ugonjwa unaoshindikana kutibika kwa dawa zake alizooteshwa na Mungu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bahati haiji mara mbili Kama akupiga pesa kipindi kile hatopiga tenaAsema watu waende wapate kikombe amesema hakuna ugonjwa unaoshindikana kutibika kwa dawa zake alizooteshwa na Mungu.
Mmeshampelekea wagonjwa!? Wamepona!?Kwa vile tumesisitizwa sana kurudi ktk asili yetu
Na kwa vile tumesisitizwa sana kutumia mvuke kuua virus vya korona wazo langu ni kwamba umefika muda sasa Babu wa Leliondo akapewa kijiti kutuongoza ktk mapambano haya naona huyu ni mtaalamu sana wa mambo ya mivuke na ubora wa miti inayotakiwa ktk mchakato huo
Umm Mwalimu harakisha ili swala lifanikiwe kwa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahhahaPesa alizochuma miaka ile zimeisha eeeh
Anataka kuchuma nyingine
Aue watu kwa Mara nyingine? Huyu mzee ni wakumchukulia hatua za kisheria.Kama ndivyo itakuwa kheri.
Nilishuhudia vifo si chini ya vitatu vya watu walioenda huko loliondo kwa babu punde tu wAlivyorejea,,imani na babu ikapotea mpaka leo
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe sana mkuu
Kama Phd ni za aina hii na wamiliki wa hivi (hata zaidi ya 4) hakuna haja kuwa nazo. Kalumanzila anatosha!
#PICHA Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina akizindua dawa inayosadikika kuwa inatibu COVID-19, iliyotengenezwa kwa kutumia mitishamba.Kama Phd ni za aina hii na wamiliki wa hivi (hata zaidi ya 4) hakuna haja kuwa nazo.Kalumanzila anatosha!
🙆♂️ 🏃♂️🏃♂️
Piere Liquid alikuwa anakimbia miguu bado kidogo ifike nyuma ya shingo.wagonjwa wa korona amana wametoroka kuwa makini
Kama ni kweli basi safari hii atatajirika sana maana wazungu watamwagika hapo Samunge na patakuwa hapatoshi.