hapana mkuu Ila ndugu baadhi walienda.😂😂😂😂😂
Na hawa ndo wateja wake...
Kwani wakati ule mmekusanywa Samunge mliambiwa na nani ?MKUU UNAWEZA WEKA SOSI YA HABARI YAKO? 🤔
😎😎😎😎Kwani wakati ule mmekusanywa Samunge mliambiwa na nani ?
Ikawaje..?hapana mkuu Ila ndugu baadhi walienda.
mi sikuwa Tz kipindi hiko😊😊😊
Walipukutika kama maua ya mbaaziIkawaje..?
ankali alizidiwa mara 2 baada ya kunywa ule utopolo😢😢😢Ikawaje..?