#COVID19 Babu wa Loliondo: Nileteeni wachache wenye Corona waone!

😂😂😂😂😂

Na hawa ndo wateja wake...
 
Awamu hii waboreshe miundo mbinu ziwe barabara nne hadi Samunge. Uwanja wa ndege wa Kisongo uongezwe zishuke Airbus na Boeing
 
Hahaa clouds wana uwezo wa kumpa mtu kiki na ikakaa.
Wasije kufanya kwa huyu mzee maana watu wengi watakufa.
 
hapa lockdown inaenda kusahaulika kifo cha mama Rwakatale tunaenda kupigishwa kwata la foleni kwa babu
 
Huu ndio muda wa kumkamta muongo au kumpata shujaa wa Tanzania na dunia kwa ujumla
 
Yaani watu tunaukimbia huu ugonjwa na yeye anataka apelekewe wagonjwa
Kweli hii Siri ya kifo aijuaye ni Mola tu
RIP in advance


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…