Babu wangu wa hiyari kaninunia

Babu wangu wa hiyari kaninunia

Uji kweny lift mtamu sana asikwambie mtu, miss chagga babu mpweke sasa ivi namwona tu anavokuaza uku anajisonya, ..gaddamit!!
 
" Uji wangu umekunywa, utatoa hutoi..?
 
Sa ivi anatamani aweke gia namba 8 apae hewani, ...Babu babu babu babu umeramba asali unataka kuchonga mzingaaaa bwahahahaha


Babu ishia apo apo ukipewa zaidi utakuja kufia kweny miili ya watu lol
ha ha hii kesi itaniletea aibu
 
ngoja nitafute pesa nimlipe
Si kila jambo la pesa hulipwa kwa pesa...angekuwa anataka umlipe pesa angelikwambia toka mwanzo.
Umeingia mkataba na huyo babu wa kulipa chochote atakacho hitaji pale tuu ulipo kubali kunywa uji wake.....
Hivi unafikiri babu huyo hana wajukuu wanao hitaji huo uji? unaweza kukuta wakati wewe umewekewa bill ya uji huko bibi yako hana hata mboga ya mchana na jioni wala sukari ya chai...
Kwa hiyo ili kuvunja mkataba na babu yako lazima mwende kwenye meza ya mazungumzo na umsikilize kinyume na hapo unaweza kuulipa huo uji kwa lazima.
 
Si kila jambo la pesa hulipwa kwa pesa...angekuwa anataka umlipe pesa angelikwambia toka mwanzo.
Umeingia mkataba na huyo babu wa kulipa chochote atakacho hitaji pale tuu ulipo kubali kunywa uji wake.....
Hivi unafikiri babu huyo hana wajukuu wanao hitaji huo uji? unaweza kukuta wakati wewe umewekewa bill ya uji huko bibi yako hana hata mboga ya mchana na jioni wala sukari ya chai...
Kwa hiyo ili kuvunja mkataba na babu yako lazima mwende kwenye meza ya mazungumzo na umsikilize kinyume na hapo unaweza kuulipa huo uji kwa lazima.
duh unanitisha haya bwana
 
Back
Top Bottom