Habari muzuri mshiki.........
hebu nisome hapa chini utanielewa
I may be walking slowly, But I never walk backwards! and Whenever I walk backwards, Its for a long jump!!
Kisiwa cha maluvy davy!!Wakati wa ku-break up: We mwnamme gani wewe au mwanaume sarawili nini wewe? yani kwenye wanaume na wewe upo?
Then baadae: Baby come back please....(tena na lugha imebadilika)
My take: usanii tu
Mwenendo wako wa leo una msg kubwa sana...Labda utakuja kabla ya 18hrs kutujuvywa kwa nini umeamua kupiga super glue kwenye keyboard yako!
mi kwakeli nashangaa alafu unavyokuja kuniomba msamaha does it mean kwamba u were the only fish in the pond hadi nikae tu nakusubiri ww huko?opportunities are everywea y not grabing one?au watu hawajui But you dont miss your water until the well runs dry?
Habari yake BiG.....Kisiwa cha maluvy davy!!
Wakati wa ku-break up: We mwnamme gani wewe au mwanaume sarawili nini wewe? yani kwenye wanaume na wewe upo?
Then baadae: Baby come back please....(tena na lugha imebadilika)
My take: usanii tu
Nawashangaa mnaokuwa wakali..........Kila roho iataonja mauti........so kuachwa na kurudiana ni sehemu ya maisha mbona mnakuwa na mioyo migumu na kwa taarifa yenu hakuna viumbe DUNIANI vyepesi vya kusahau na kusamahe kama wanawake....na ndio maana wengine wnakuwa na HURUMA sana mpaka inapitiliza na akiombwa (maneno) anatoa kwa huruma na upendo.
of coz without 4geting your Protector.....!!Mh Babu mimi leo hapana sema kabisa....
my lips are tight sealed yaani.....:tape2::tape2:
I'll jus be readin....observing!!
Ila hicho kisima kikijaa mara ya pili utayaheshimu sana hayo maji au unasemaje P?
Hivi kuna siku mapenzi yameacha kuwa usanii au mimi ndiye nazeeka vibaya?
Leo hujaamkia Tip Top eh hommie? unamwaga mapwoitnti tu!!!Babu mapenzi bila usanii na utundu sio mapenzi hayo
Mapenzi ni mjumuiko wa uchafu, usafi, lugha kali, lugha laini, aibu, mataching taching, mibusu, n.k
Nawashangaa mnaokuwa wakali..........Kila roho iataonja mauti........so kuachwa na kurudiana ni sehemu ya maisha mbona mnakuwa na mioyo migumu na kwa taarifa yenu hakuna viumbe DUNIANI vyepesi vya kusahau na kusamahe kama wanawake....na ndio maana wengine wnakuwa na HURUMA sana mpaka inapitiliza na akiombwa (maneno) anatoa kwa huruma na upendo.
On my wayhaliwezi kuendelea bby boy!cme over and uje pata heavy breakfast ya matumbua yalonona!achana na chapat transparent!
Leo hujaamkia Tip Top eh hommie? unamwaga mapwoitnti tu!!!
baba mgawa dozikwa kina mama tunasema mama huruma je na baba anae gawa dozi nae anaitwaje?
Babu mapenzi bila usanii na utundu sio mapenzi hayo
Mapenzi ni mjumuiko wa uchafu, usafi, lugha kali, lugha laini, aibu, mataching taching, mibusu, n.k
Lile kombe halina tofauti na zile mechi za mchangani bingwa anapewa mbuziHasira za kufungwa jana hizi mpwa